Mimi tatizo langu najaa mate mdomoni nikiwa usingizini.Nikishtuka nameza lakini huwa yanatoka mpaka mto wangu unaroa na mto una nuka sana.
PLEASE HELP KUNA DAWA?
Usiogope sana, kila unapoenda kulala hakikisha unapiga mswaki na usile kitu chochote baada ya hapo, jaribu leo then utaona matokeo, na hiyo ndo iwe tabia yako, then uje unipe majibu, trust me
nina iyo kitu ila hainikeri sana, atakoma bi.mkubwa.
Asanteni kwa ushauri wanajamvi.. nayafanyia kazi yote mliyoshauri. Inaudhi na kukera sana kwakweli...