ndisinzowa
Member
- Aug 18, 2010
- 86
- 14
Hi Jf Member
Nilifanya interview mwaka jana sekretariet ya ajira mwaka jana kwa bahati mbaya sikuitwa kazini. Wamenipigia simu na kuniuliza kama nipo tayari kupangiwa kituo nikawajibu nipo tayari wakakata simu. Sasa sijaelewa hapo nafanyaje baada ya hapo au niendelee kuvuta subira.
Ushauri Wadau naitaji.
Nilifanya interview mwaka jana sekretariet ya ajira mwaka jana kwa bahati mbaya sikuitwa kazini. Wamenipigia simu na kuniuliza kama nipo tayari kupangiwa kituo nikawajibu nipo tayari wakakata simu. Sasa sijaelewa hapo nafanyaje baada ya hapo au niendelee kuvuta subira.
Ushauri Wadau naitaji.