kwani nssf ilikuaje mkuuHahaha yasitokee yale ya.nssf
wameitwa lini?Kuna jamaa zangu wawili wameitwa moja wa ACO na mwngne wa APO
Leo kaka
Walianza kuita mida ya sa nne
Walianza kuita mida ya sa nne
Leo hii
interview ya pili ilishafanyika mwaka jana,hiyo intvw ya post zipi?wameongeza idadi ya nafasi za kazi au?Tunachanganyana sasa.kuna ndugu yangu aliitwa wiki iliyopita alhamisi kwa ajili ya interview ya pili sasa sijui kama alifanya
interview ya pili ilishafanyika mwaka jana,hiyo intvw ya post zipi?wameongeza idadi ya nafasi za kazi au?Tunachanganyana sasa.