Ni ndoa ya kimila. Kwasababu ukisha ishi na mume/mke kwa kinyumba kwa siku zaidi ya tatu, hayo ni maisha ya ndoa ya kimilaa...
ikizidi miaka miwili serikali inawatambua kama mke na mume
Nzur sana hiyo, ndoa baadae, migarama ya harusi ghali sana
ikizidi miaka miwili serikali inawatambua kama mke na mume
Ikizidi miezi mitatu huyo na mkeo/mmeo...