Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,494
Tatizo hizi salamu ni mbaya kwa Chelsea tena Massa wangu!..Japo nampenda Messi ila hamna jinsi inabidi niwepo darajani kushabikia ze bluez..
Hahaha jamani nyie vipi hawa Madrido ni wabovu si walifungwa na Liverpool pia na sisi tukawachapa Liverpool? Kama mnakumbu kumbu Barca hajawahi ifunga Chelsea wakiwa 11...