Jamani, huyu Messi nampenda kisoka TU. Usijali wala kumuonea wivu, hata hanifahamu...Relax my dear!
BJ, au nikupe kilonga longa chake! Masanilo hupo?
Jamani, huyu Messi nampenda kisoka TU. Usijali wala kumuonea wivu, hata hanifahamu...Relax my dear!
Masanilo naona umeamua kuja kufuatilia gemu kwa ajili ya kumbrief Guus! Ila hesabu maumivu J5
Hii noma, get well soon uwatoe Chelsea ili fainali iwe Arsenal vs Barcelona!
Nikuwawekea pin hao jamaa ukiwaachia wanakutia aibu...Messi atakuwa chini ya ulinzi wa Cole.....
BJ, au nikupe kilonga longa chake! Masanilo hupo?
Jamani, huyu Messi nampenda kisoka TU. Usijali wala kumuonea wivu, hata hanifahamu...Relax my dear!
hata pole mnatoa matokeo tu Binadam bwana...
Salaam Chelsia tunakuja darajani kifua mbele. BJ panda feri huje darajani!
Mh! Nitashukuru ila itabidi Masanilo ampigie halafu mimi nimsalimie tu vinginevyo...PM pls ila ninashare na Masa!..Nimebanwaa acha tu..
Tatizo hizi salamu ni mbaya kwa Chelsea tena Massa wangu!..Japo nampenda Messi ila hamna jinsi inabidi niwepo darajani kushabikia ze bluez..
darajani, fomesheni ileile....9:1
Masanilo, kumbuka kuna Niesta atakayekuwa anapanda kusaidiana na Mesi siku hiyo kama ni Cole mmekula hasara bora mara 100 kuwa na Bosingwa.
Hawawezi kufanya kosa hilo Maana Maluda atawafanya mbaya!
Naona mnatafuta matuta. Kazi kweli kweli