Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #41
na heri yenyewe umeipata leoHasira hasara ila subira yavuta heri.
na heri yenyewe umeipata leoHasira hasara ila subira yavuta heri.
nonspuriousness required, anayekata umeme ni nani? Hapa munataka kuwatetea ndugu zenu wanafaidika kwa maumivu yetu.,sioni kosa la DWNs hapa, kosa ni la wale waliosema uwa richmond ni coruption lakini wasiwawajibishe badala yake wanapigia makofi mauzo yake na fasttruck ineption yaka warithi.Acheni uchizi.....
mtakatifu Ivuga, je huo ni utakatifu, kama vp weka plan tufanyeje ili tukatekeleze hicho. Na wapi sehemu ya kujiorganise!? Nasubiri tamko!mmeona eee !!!! sasa tungeipiga moto haya yote yasingetokea .. ile mitambo inawapa faida gani sasa?tutafutae alternative nyingine
Za mbayumbayu changanya na za kwako...mtakatifu Ivuga, je huo ni utakatifu, kama vp weka plan tufanyeje ili tukatekeleze hicho. Na wapi sehemu ya kujiorganise!? Nasubiri tamko!
sasa mkubwa hiyo kitu tufanye lini.hilo wazo zuri sana.haihitaji watu wengi.ile kitutunaifanya saa nne asubuhi wakati wa foleni coz hawa fire kufika dowans yote kwishiney na mafaili yao.mkuu msamehe jamaa. Labda umeme ulimkatikia
mmeona eee !!!! sasa tungeipiga moto haya yote yasingetokea .. ile mitambo inawapa faida gani sasa?tutafutae alternativewazo sio baya lini mkuu nipo tavari