Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Uholanz anasomea certicate of journalism and democracy hiyo MBA uko wa Kubenea hakuna mwenye sifa kwa sasa labda mtoto wake atakuja soma MBA
Ni bora hiyo MBA kuliko karibu nusu ya mawaziri wenu na Wabungw waliofoji vyeti vya shule na vyuo! Ndiyo maana hakuna kizuri kinachoendelea hapa nchini sasa hivi, ni kutapatapa tu kwa CCM!