Kuhusu Vita ya Siku Sita!

Status
Not open for further replies.
Jamani haya mambo ya kugombana hapa yametoka wapi? Mimi sipo mrengo wowote ila Tukumbuke tu kuwa Israel ni Taifa La Mungu. Halitakaa lishindwe hata mara moja. Kumbuka maneno haya ya JEHOVA '' SIKIA Ee ISRAEL ' AKULAANIYE NITAMLAANI NAYE AKUBARIKIE NITAMBARIKI'' Narudia sifungamani na upande wowote kati yenu.

Usijifiche kwenye nyasi..huku unasema hufungamani huku unaleta "mapambio ya kanisani na inferioty complex" shame on you
 
Wewe ni muarabu wa wapi? na makubaliano hayo yalifanyika lini?

Upendavyo wewe si wapendavyo waarabu..hilo sasa si swala la waarabu, swala la kuwaadhibu waisrael linawahusu waislamu wote duniani. period

Pole zako Tumain. Ufalme uliogawanyika unawezaje kuinuka? Hata pale Mungu alipoamua kuiadhibu Israel (Soma Biblia) utaona kuwa aliinua Ufalme mmoja tu (Mfano Iran, Ukaldayo, Koreshi nk) na si Muungano wa Mataifa (mfano Waislamu wote duniani kama unavyodai) ili wasije kujiinua. Hao Waislamu unaozungumzia ni kina nani Tumaini? As if you are dreaming a daylight dream. Hao Waislamu wote unaozungumzia ni akina nani bila kuwajumuisha Wamisri? LAbda Waislamu wote unamaanisha ni Rais Ahmednejad wa Iran, bahati mbaya si Wairan wote maana wameshagundua atawaingiza kwenye matatizo yasiyo ya lazima baada ya yale ya Iran Vs Iraq kumalizika na kuacha maelefu ya Wairan wakiwa Wajan, Yatima na Walemavu.
 
Hakuna cha dini wala mungu,Israel ni smart tuu na mara nyingi wanakuwa guided/motivated na past yao,historically walichofanywa na Egypt mpaka Hitler kinawafanya wajiweke tayari wakati wote,hawa ndio mabilionea na World financial system wana control kubwa sana,best scientist wengi ni jews,media kubwa zote ni zao...sasa dunia hii ya leo ukisha control money,media,science & technology nani atakusumbua?

Walau Koba umezungumza, ingawa kwa kutumia akili na vigezo vya kawaida ambavyo naamini hata Tumain anaweza kuelewa.
 
Hivyo...! mi sikujuaga hiyo siri.! Lakini vipi ile VITA ya kwetu na nduli iddi amini dada?
 
Hivyo...! mi sikujuaga hiyo siri.! Lakini vipi ile VITA ya kwetu na nduli iddi amini dada?

Tulipigana na nduli Idi Amin pia na Muamar Gaddaf, marais wa mataifa MAWILI.
 
Naona Tumain amerudi sijui ameshagraduate kutoka kwenye Jihad College [sic].
Nchi nyingi za kiarabu zinafanya biashara na Israel kwa kutumia third party, mfano mzuri ni mafuta, waziri wa mafuta wa Israel alishasema "tunanunua mafuta kwa nchi ambazo si marafiki zetu na hazitutakii mema".
 
Naona Tumain amerudi sijui ameshagraduate kutoka kwenye Jihad College [sic].
Nchi nyingi za kiarabu zinafanya biashara na Israel kwa kutumia third party, mfano mzuri ni mafuta, waziri wa mafuta wa Israel alishasema "tunanunua mafuta kwa nchi ambazo si marafiki zetu na hazitutakii mema".

Waarabu walijanjaruka au waliocompromise kama Jordan na Misri walishaona kuwa mgogoro hauna maslahi yoyote!
 
Nimeipenda hii mada kwani imehama toka vita kati ya Israel na Waarabu na kuwa kati ya Ukristo na Uislamu. Lakini bado ni upuuzi tu tunaouendekeza kwa kulalia ktk dini zetu. Nadhani ni jambo la busara zaidi kusema kitu bila kuegemea mahali (be OBJECTIVE rather than Subjective although mosttimes is more than difficult)
 
Nimeipenda hii mada kwani imehama toka vita kati ya Israel na Waarabu na kuwa kati ya Ukristo na Uislamu. Lakini bado ni upuuzi tu tunaouendekeza kwa kulalia ktk dini zetu. Nadhani ni jambo la busara zaidi kusema kitu bila kuegemea mahali (be OBJECTIVE rather than Subjective although mosttimes is more than difficult)

Ingekuwa vizuri zaidi kujadili vita ile kuisha kwa siku sita lakini kuna watu wamedivert mada hii imeegemea kwenye udini zaidi!
 
Kwa nini Waarabu (mataifa matano makubwa) yalipewa kipigo kama cha mbwa mwizi mwaka 1967 tena kwa siku sita tu na taifa moja dogo? Waarabu walikosea wapi mpaka wakanyang'anywa maeneo (Gaza, Golan Heights, East Jerusalem, etc) ambayo wameshindwa kuyarudisha hadi leo?

Duh, leo nimekukutana na hii ahadi ya Mungu kwa Israel ;
" Three times each year all the men of Israel must appear before the Sovereign LORD, the God of Israel. No one will attack and conquer your land when go to appear before thr LORD your God those three times each year. I WILL DRIVE OUT THE NATIONS that stand in your way and will enlarge your bondaries." Ex. 34:23-24
 
Duh, leo nimekukutana na hii ahadi ya Mungu kwa Israel ;
" Three times each year all the men of Israel must appear before the Sovereign LORD, the God of Israel. No one will attack and conquer your land when go to appear before thr LORD your God those three times each year. I WILL DRIVE OUT THE NATIONS that stand in your way and will enlarge your bondaries." Ex. 34:23-24

wow! that's amazing, Mungu ibariki Israel, let God appear so that all the Jewish enemies get scattered away...Mungu ni mkuu.
 
Ile vita maarufu kama "Six Day War" (Waarabu hupenda kuiita "the 1967 War" kwa sababu ya kukwepa humiliation) kati ya Israel na Waarabu iliyopiganwa mwaka 1967 inanifanya niulize swali: Kwa nini nchi tano za Kiarabu (Jordan, Egypt, Iraq, Lebanon na Syria - Nchi nyingine nyingi za Kiarabu pia zilichangia fedha,mafuta, wanajeshi, etc) zilishindwa na kanchi kadogo kama Israel? Je, Waarabu wamejifunza somo gani kuhusu vita hiyo?

Nayaweza mambo yote katika yeye(YESU) anitiae nguvu. Wafilpi4:13
 
Kama hufungamani na upande wote basi kaa kimya, waachie wahusika wazungumze.
Na kama wewe ni MKristo halafu unaogopa Kutangaza utukufu wa Mungu, basi hufai. Naye atakukana mbele za Baba yake ambaye ni Mungu wetu sote.
 
Mwuliza swali anataka kuelewa kuhusu vita ya suku sita 1967. Ni vizuri aelezwe chanzo chake ninin? Matokeo yake ni nini?
Na kwa nini matokeo yakawa hivyo. Hivyo ndivyo anatakiwa Great thinker ajue. Na kama dini inaingia kati usikatae keep quite, great thinker watatueleza. Usiwe mvivu wa kujifunza.
 
Hivi kwanini hii mada imekuja tena leo hii...??anyway mi mchango wangu ni mdogo tu!! Hivi kwanini waisrael wanaua watu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom