Je Buchanan unataka kutoa ujumbe gani katika thread hii? Je unashabikia uovu ambao Israel wanawafanyia waarabu na hapa ni wapalestina? Kumbuka ni wayahudi hao hao walimtesa bwana yetu Yesu. je kwa imani yako ulifurahia kuteswa kwa Yesu pia?
Inashangaza pale mtu unapokuwa na upenzi wa mambo ya uovu na dhuruma kwa watu wengine!!!!!
Hujajua msingi wa mada hii! Unamhusisha Yesu na mambo yasiyomhusu! Nani kakuambia waliomtesa Yesu ni waisrael peke yao? Waliotoa amri ni utawala wa kirumi na askari wa kirumi ndio waliomwua Yesu wakishirikiana na wakuu wa makuhani wa Israel lakini ujue siyo wayahudi wote waliunga hicho kitendo mkono! Pia ilifanyika hivyo ili tuupate ukombozi, haya yote yalitendeka kutimiza maandiko, inaonekana ni kwa jinsi gani huyaelewi maandiko matakatifu.