Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Matarajio yangu mko njema wadau wenza.
Katika jamii tunamoishi husussan uswahilini, hua hapakosekani jamaa zako wawili-wa3 ambao mambo yanapokwenda mrama mfukoni basi aidha wewe utamtokea mmoja kt ya hao, kupata karadha ya muazimo wa vijisenti , mambo yako yakikaa sawa una'refund.
Aidha suala hili hua ni mtambuka na hao jamaa zako nao wakwamapo hukutokea wewe, maisha yanaenda.
Kwa upande wangu mimi itokeapo jamaa kanitokea na dharura ya senti ndogondogo mathalani sh elfu 5 mpaka laki 1 , hua napenda muamala huo ubaki kwangu tu na huyo niliempa, hua sipendi nilifikishe hilo hadi kwa wife wangu, kwani nahisi kufanya hivyo ninalinda staha ya jamaa yangu.
Naweza kumfahamisha wife walau hiyo amount ntakayomuazima huyo jamaa yangu itavuka laki 1.
Hivi karibuni nimegundua mmoja kt ya jamaa zangu hata akikuazima elfu 10, basi ni lazima afikishe taarifa kwa mkewe.
Kitu hiki kifupi mimi kikanikwaza na nikaweka azma ya kutomtokea tena jamaa yangu huyo.
Nisingekwazika kama angefanya hivyo kwa amount kama ya elfu 50 kwenda mbele.
Wadau nachotaka kushare nanyi hapa ni KUHUSU UTARATIBU kua alivyofanya huyu jamaa yangu ndiyo utaratibu ? Pengine mi ndiyo nna mapungufu ? Jengine nalotaka kujua je kukopa kwa Shemeji yako (mke wa swaiba wako) bila kumuarifu mumewe ni sawa hakuna tatizo lolote?
Naomba kutoa hoja .
Katika jamii tunamoishi husussan uswahilini, hua hapakosekani jamaa zako wawili-wa3 ambao mambo yanapokwenda mrama mfukoni basi aidha wewe utamtokea mmoja kt ya hao, kupata karadha ya muazimo wa vijisenti , mambo yako yakikaa sawa una'refund.
Aidha suala hili hua ni mtambuka na hao jamaa zako nao wakwamapo hukutokea wewe, maisha yanaenda.
Kwa upande wangu mimi itokeapo jamaa kanitokea na dharura ya senti ndogondogo mathalani sh elfu 5 mpaka laki 1 , hua napenda muamala huo ubaki kwangu tu na huyo niliempa, hua sipendi nilifikishe hilo hadi kwa wife wangu, kwani nahisi kufanya hivyo ninalinda staha ya jamaa yangu.
Naweza kumfahamisha wife walau hiyo amount ntakayomuazima huyo jamaa yangu itavuka laki 1.
Hivi karibuni nimegundua mmoja kt ya jamaa zangu hata akikuazima elfu 10, basi ni lazima afikishe taarifa kwa mkewe.
Kitu hiki kifupi mimi kikanikwaza na nikaweka azma ya kutomtokea tena jamaa yangu huyo.
Nisingekwazika kama angefanya hivyo kwa amount kama ya elfu 50 kwenda mbele.
Wadau nachotaka kushare nanyi hapa ni KUHUSU UTARATIBU kua alivyofanya huyu jamaa yangu ndiyo utaratibu ? Pengine mi ndiyo nna mapungufu ? Jengine nalotaka kujua je kukopa kwa Shemeji yako (mke wa swaiba wako) bila kumuarifu mumewe ni sawa hakuna tatizo lolote?
Naomba kutoa hoja .