Kuhusu pre entry ya saut

Persie

Senior Member
May 2, 2012
188
15
Kwa wale mliosoma au mnasoma au kukifaham vizuri chuo cha saut kuna hii pree entry course sasa kuna girl friend wangu kachaguliwa kuingia pale mwaka huu kuisoma hiyo pre entry na waliambiwa wariport tarehe 6 lkn ameugua kidogo vp anaweza kupokelewa tarehe 9 hv au 10???? bt ada pamoja na hostel ameshalipia
 
Mitandao ya kijamii ktk 3rd kantri inatuathiri fanya mawasiliano na admin ya chuo jf akuna.lazima wakusaidie kulea chezea maisha ya mwanza wewe
 
Mitandao ya kijamii ktk 3rd kantri inatuathiri fanya mawasiliano na admin ya chuo jf akuna.lazima wakusaidie kulea chezea maisha ya mwanza wewe

Nimejikuta nacheka kwa hii post yako hapo kwenye blue,utafanya jamaa asimruhusu kwenda Mwanza
 
Back
Top Bottom