Kuhusu Pensheni ya Wastaafu wa Serikali za Mitaa kutoka Hazina: Je, Serikali haijui ni haki yetu?

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
382
764
Leo ni tarehe 9.1.2024 Wastaafu wa Serikali za Mitaa wanaolipwa na Hazina hawajapata pensheni yao ya Desemba, 2023. (1) Je, Serikali ina hali mbaya ya kifedha? (2) Je, Serikali haijui ni haki yetu? (3) Je, Serikali haioni ni kipaumbele chake kuwalipa wastaafu? Tunaomba tulipwe kwani ni haki yetu.
 
Leo ni tarehe 9.1.2024 Wastaafu wa Serikali za Mitaa wanaolipwa na Hazina hawajapata pensheni yao ya Desemba, 2023. (1) Je Serikali ina hali mbaya ya kifedha? (2) Je Serikali haijui ni haki yetu? (3) Je Serikali haioni ni kipaumbele chake kuwalipa wastaafu?. Tunaomba tulipwe kwani ni haki yetu.
PENSHENI zenyewe ni NDOGO sana Wao MISHAHARA MIKUBWA MNO lakini bado WANAWACHELEWESHEA wazee wetu Walioitumikia NCHI hii kwa UAMINIFU MKUBWA na MISHAHARA MIDOGO

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
PENSHENI zenyewe ni NDOGO sana Wao MISHAHARA MIKUBWA MNO lakini bado WANAWACHELEWESHEA wazee wetu Walioitumikia NCHI hii kwa UAMINIFU MKUBWA na MISHAHARA MIDOGO

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Watekelezaji wanalo pepo la Ukatili na Husda na wanajisahau kwamba nao (Kama hawatakata moto njiani i.e. kufariki kabla ya kustaafu) wataikuta hali hii hii walioitengeneza na kuilea wao wenyewe ndipo watajua maana ya kilo cha wazee hawa.
 
Back
Top Bottom