Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,290
- 10,705
Ni ngumu kusema wasomi hawakumpigia kura.Hao warekani waliosoma ndo maana hawakumpigia kura trump
Ni ngumu kusema wasomi hawakumpigia kura.Hao warekani waliosoma ndo maana hawakumpigia kura trump
Sawa sawa,na hz scandal kwa US kawaida tuDonald Trump asingeweza kuwa Bilionea na kuandika vitabu vingi kama angekuwa chizi. Nenda ukafanye research kwa kuhusu masuala ya kimataifa badala ya kutoa matusi. Usifikiri siasa za Africa ndio zipo Marekani. Wamarekani wamesoma wanajua kinachoendelea sio kama wewe uliyesoma shule za kata
Nimedownload jana nikakipitia juu juu leo nakifungua "invalid format" nakuja kupakua tena "invalid format" vp CIA washafanya yao nini?Hiki hapa..
Mkuu kama kinakubali kwako naomba unifanyie mpango wa ku-DMThanks
Ngoja leo nishinde nacho
Kwel kabisa invalidNimedownload jana nikakipitia juu juu leo nakifungua "invalid format" nakuja kupakua tena "invalid format" vp CIA washafanya yao nini?
Tunajisomea PDF copy maana hardcopy badonadhan hakjafika bongo
jamaa mjanja sana hebu cheki contents zake lazima uvutike kukisomaKwel kabisa invalid
Trump ni mwehu ameongeza majeshi afghanistan maana na gharama zimeongezeka
Asante mkuu, ngoja nikisome nami japo I am Trump Supporter no matter how mad he is!Hiki hapa..
Na kingine tunachojifunza ni kuwa wenzetu wako huru kukosoana.Nimeangalia Aljezeera na CNN tangu asubuhi wakizungumzia hiki kitabu. Nilicho-note wengi wanakimbilia kununua kutaka kumjua zaidi Trump na jamaa ametumia fursa vizuri sana, maana amewateka watu kuwa amefanya mahojiano na aliyekuwa msaidizi wake na kuelezwa mamilioni ya maneno na upuuzi alioufanya ndani ya White House pamoja na kashfa ya kuungana na Urusi wakati wa uchaguzi kupitia mtoto wake wa kiume. Kubwa nimeona kwamba wezetu wana utamaduni mzuri mno wa kupenda kusoma vitabu. Bahati mbaya maduka yote yaliyoonesha wanunuaji wamejaa kukinunua, sikuona black.
Ahsante mpendwa, nakuja DM.Hiki hapa..