Kuhusu gari

Mpigadili Tz

JF-Expert Member
May 4, 2015
1,042
1,822
Habari zenu? Wakuu kidogo kuna swali linanitatiza sababu sijapitia gereji au katika mambo haya, ni hivi naimani mashine ili ifanye kazi basi inahitaji chanzo cha umeme sasa inawezekana vipi gari ukiiwasha na ikiwaka unaweza kutoa betri na ikaendelea kuwaka? Ahsanteni
 
Battery kwenye gari ndiyo chanzo cha umeme ambao hutumika kuzungusha starter kisha engine ikiishawaka kuna kitu kinaitwa alternator ndicho kinachotumika kufua umeme na kuusambaza kwenye gari kila penye kuhitaji kama taa,a/c radio etc..ndo maana gari ikiwa off radio au taa zikawa on baada ya muda(inategemea na uhai was betri)gari inakataa kuwaka coz betri ilikuwa inatumika direct,kwa maneno mengine matumizi ya battery kwenye gari yanaishia pale machine inapokuwa imewaka sii zaidi ya hapo..zaidi watakuja wengine kujazilizia nyama.@Rabii99
 
Battery kwenye gari ndiyo chanzo cha umeme ambao hutumika kuzungusha starter kisha engine ikiishawaka kuna kitu kinaitwa alternator ndicho kinachotumika kufua umeme na kuusambaza kwenye gari kila penye kuhitaji kama taa,a/c radio etc..ndo maana gari ikiwa off radio au taa zikawa on baada ya muda(inategemea na uhai was betri)gari inakataa kuwaka coz betri ilikuwa inatumika direct,kwa maneno mengine matumizi ya battery kwenye gari yanaishia pale machine inapokuwa imewaka sii zaidi ya hapo..zaidi watakuja wengine kujazilizia nyama.@Rabii99
Ahsate sana Mkuu ahsante
 
Gari ina mfumo wa kuchaji (charging system) kazi yake ni kuhakikisha battety inakuwa fullcharge muda wote. Mfumo huu unaendeshwa na engine kwaiyo ukiwasha gari ukatoa battery umeme unaozalishwa na mfumo huu utalifanya gari liendelee kufanya kazi
 
Gari ina mfumo wa kuchaji (charging system) kazi yake ni kuhakikisha battety inakuwa fullcharge muda wote. Mfumo huu unaendeshwa na engine kwaiyo ukiwasha gari ukatoa battery umeme unaozalishwa na mfumo huu utalifanya gari liendelee kufanya kazi
Asante Mkuu
 
Back
Top Bottom