Kuharibika kwa Mimba: Fahamu Sababu, Kinga na Tiba za tatizo hili

Una uhakika ulikuwa na mimba? Ulifanya vipimo kuthibitisha? Pole sana.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Pole mwaya.

Sababu ziko nyingi, kwanzia stress mpaka kua na matatizo ya uzazi!! Kwa uhakika zaidi ni vizuri ukamuona gynecologist.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Pole mwaya.
Sababu ziko nyingi, kwanzia stress mpaka kua na matatizo ya uzazi!! Kwa uhakika zaidi ni vizuri ukamuona gynecologist. . . .

Kama alivyosema Lizzy kuna sababu nyingi zinazoweza kusababisha ujauzito kuharibika. Wataalamu wa mambo ya ujauzito mara nyingi wanaweza kukwambia sababu baada ya kufanya uchunguzi lakini wakati mwingine wanaweza wasijue kabisa kipi kilisababisha ujauzito kuharibika. Pole sana.
 
Ni vyema ukamwona daktari kwa uchunguzi na ushauri zaid mana huenda labda ni maambukizi ya fangaz kwenye kizazi, au labda mimba haikukaa vizuri kwenye mfuko wake, au kazi nzito unazofanya, au stress yn sbb ziko nyingi sana ila nakushauri MWONE DAKTARI KABLA HUJAPATA UJAUZITO NA BAADA TU YAKUJIGUNDUA U MJAMZITO. POLE SANA MPENDWA
 
Kaz nzito nzito, utumiaj wa madawa,kufanya ngono wakat ukiwa mjamzito, matatizo ya kurith, utapiamlo, maradh wakat wa mimba, kisukari na presha.
 
kaz nzito nzito,utumiaj wa madawa,kufanya ngono wakat ukiwa mjamzito, matatizo ya kurith, utapiamlo, maradh wakat wa mimba,kisukar na presha

Rais Kivuli, mambo yote uliyo yataja hapo sio sababu kubwa zinazosababisha kuharibika mimba! Ni vema ukajua kwamba wanawake wengi hupata ujauzito, na mimba hutoka bila wao kujua kama walikuwa ni wajawazito. Sababu ya mimba kuharibika zikiwa changa kwenye umri wa hadi wiki 12 ni matatizo ya kimaumbile (chromosomal abnormalities).

Na hii ni natural selection tu hutokea kwani nature huona kwamba kiumbe atakaye zaliwa hata weza kuishi kwenye mazingira ya kawaida (compatible with environment) na hivyo hutolewa mapema. Na hapa defect huwa zaidi kwenye cell division wakati wa organogenesis. Issue ya kizazi kulegea (cevical incompetency), matatizo ya mfuko wa kizazi (uterine abnormality),magonjwa (infection), na magonjwa ya mama mjamzito hufuata baadaye.

Ni vizuri ukawaona wataalamu pindi utakapo jihisi kuwa mjamzito ili upate huduma mapema. Lakini ni muhimu pia kupata pre conception care ambayo ni uchunguzi na huduma kabla ya kubeba mimba kwa takriban miezi mitatu kabla ili kuhakikisha unaondoa hatari zozote ambazo zingeweza kujitokeza kwa baadaye.
 
JF Doctors
naombeni ushauri kwani nina MYOMA inanisumbua sana,baada ya kupima nikakuta zipo 5 zenye size tofauti na kila nikipachikwa mimba hutokea miscarriage na nimeelezwa kuwa miscarriage hizo husabishwa na MYOMA zinagombania nafasi na mtoto na mwisho wa siku zenyewe hushinda

nacho omba kama kuna dawa ya kuziondoa kabisa ama ni lazima nifanyiwe operation?

nawasilisha.

Pregnancy and Miscarriage:


A miscarriage is the loss of a fetus before the 20th week of pregnancy. The medical term for a miscarriage is spontaneous abortion, but the condition is not an abortion in the common definition of the term.According to the March of Dimes, as many as 50% of all

pregnancies end in miscarriage -- most often before a woman misses a menstrual period or even knows she is pregnant. About 15% of

recognized pregnancies will end in a miscarriage.More than 80% of miscarriages occur within the first three months of pregnancy. Miscarriages are less likely to occur after 20 weeks gestation; these are termed late miscarriages.


What Are the Symptoms of a Miscarriage?

Symptoms of a miscarriage include:

  • Bleeding which progresses from light to heavy
  • Severe cramps
  • Abdominal pain
  • Fever
  • Weakness
  • Back pain
If you experience the symptoms listed above, contact your obstetric health care provider right away. He or she will tell you to come in to the office or go to the emergency room.

What Causes Miscarriage?

The causes of miscarriage are not well understood. Most miscarriages that occur in the first trimester are caused by chromosomal abnormalities in the baby. Chromosomes are tiny structures inside the cells of the body which carry many genes. Genes determine all of

a person's physical attributes, such as sex, hair and eye color, and blood type. Most chromosomal problems occur by chance and are not related to the mother's or father's health.Miscarriages are also caused by a variety of other factors, including:

  • Infection
  • Exposure to environmental and workplace hazards such as high levels of radiation or toxic agents
  • Hormonal problems
  • Uterine abnormalities
  • Incompetent cervix (the cervix begins to widen and open too early, in the middle of pregnancy, without signs of pain or labor)
  • Lifestyle factors such as smoking, drinking alcohol, or using illegal drugs
  • Disorders of the immune system, including lupus
  • Severe kidney disease
  • Congenital heart disease
  • Diabetes that is not controlled
  • Thyroid disease
  • Radiation
  • Certain medications, such as the acne drug Accutane
  • Severe malnutrition
In addition, women may be at increased risk for miscarriage as they get older. Studies show that the risk of miscarriage is 12% to 15% for women in their 20s and rises to about 25% for women at age 40. The increased incidence of chromosomal abnormalities contributes to the age-related risk of miscarriage.There is no proof that stress or physical or sexual activity causes miscarriage.

How Is a Miscarriage Diagnosed and Treated?

Your health care provider will perform a pelvic exam and an ultrasound test to confirm a miscarriage. If the miscarriage is complete and the uterus is empty, then no further treatment is usually required. Occasionally, the uterus is not completely emptied, so a dilation and

curettage (D&C) procedure is performed. During this procedure, the cervix is dilated and any remaining fetal or placental tissue is gently

removed from the uterus. As an alternative to a D&C, certain medications can be given to cause your body to expel the contents in the uterus. This option may be more ideal in someone who wants to avoid surgery and whose condition is otherwise stable Polisi

How Is a Miscarriage Diagnosed and Treated? continued...

If a miscarriage was not confirmed, but you had symptoms of a miscarriage, bed rest may be prescribed for several days, and you may be admitted to the hospital overnight for observation. Blood work to determine the amount of a pregnancy hormone (hCG) is checked to

monitor the progress of the miscarriage.When the bleeding stops, usually you will be able to continue with your normal activities. If the cervix is dilated, you may be diagnosed with an incompetent cervix and a procedure to close the cervix (called cerclage) may be

performed if the pregnancy is still viable. If your blood type is Rh negative, your doctor may give you a blood product called Rh immune globulin (Rhogam). This prevents you from developing antibodies that could harm your baby as well as any of your future

pregnancies.Blood tests, genetic tests, or medication may be necessary if a woman has more than two miscarriages in a row (called repeated miscarriage). Some diagnostic procedures used to evaluate the cause of repeated miscarriage include endometrial biopsy (a

procedure involving the removal of a small amount of tissue from the lining of the uterus for study under a microscope), hysterosalpingogram (an X-ray of the uterus and fallopian tubes), hysteroscopy (a test in which the doctor views the inside of the uterus

with a thin, telescope-like device inserted through the vagina and cervix), and laparoscopy (a surgical procedure in which the doctor views the pelvic organs with a lighted device).


How Do I Know if I Had a Miscarriage?

Bleeding and mild discomfort are common symptoms after a miscarriage. If you have heavy bleeding, fever, chills, or pain, contact your health care provider right away. These may be signs of an infection.

Can I Get Pregnant Following a Miscarriage?

Yes. At least 85% of women who have miscarriages have subsequent normal pregnancies and births. Having a miscarriage does not necessarily mean you have a fertility problem. On the other hand, about 1%-2% of women may have repeated miscarriages (three or

more). Some researchers believe this is related to an autoimmune response.If you've had two miscarriages in a row, you should stop trying to conceive, use a form of birth control, and ask your health care provider to perform diagnostic tests to determine the cause of the miscarriages.


How Long Will I Have to Wait Before I Can Try Again?

Discuss the timing of your next pregnancy with your health care provider. Some health care providers recommend waiting a certain amount of time (from one menstrual cycle to 3 months) before trying to conceive again. To prevent another miscarriage, your health care

provider may recommend treatment with progesterone, a hormone needed for implantation in the uterus.Taking time to heal both physically and emotionally after a miscarriage is important. Above all, don't blame yourself for the miscarriage. Counseling is available to

help you cope with your loss. Pregnancy loss support groups may also be a valuable resource to you and your partner. Ask your health care provider for more information about these resources.


Can a Miscarriage Be Prevented?

Usually a miscarriage cannot be prevented and often occurs because the pregnancy is not normal. If a specific problem is identified with testing, then treatment options may be available.
Sometimes, treatment of a mother's illness can improve the chances for a successful pregnancy. Miscarriage Symptoms, Causes, Diagnosis, and Treatment

Mimba kuharibika

220px-Human_Embryo_-_Approximately_8_weeks_estimated_gestational_age.jpg


Mimba iliyoharibika wiki sita hivi baada ya kutungwa, yaani wiki nane hivi baada ya hedhi ya mwisho.

Mimba kuharibika ni tukio linalopatikana mara nyingi katika wanawake na mamalia wa kike kutokana na shida mbalimbali katika ukuaji wa mimba tumboni mwa mama.

Ni tukio tofauti na utoaji mimba ambalo linasababishwa na binadamu kwa makusudi.
Matukio yote mawili kwa kawaida yanaleta matatizo mbalimbali kwa mama.

Kuharibika kwa kijusi au kiinitete pengine kunatokana na mfadhaiko wa kiajali au sababu za kimaumbile. Mimba nyingi huharibika kutokana na kutonakiliwa kisahihi kwa kromosomu; pia huweza kuharibika kutokana na mazingira.

Mimba inayotamatika kabla ya wiki ya 37 katika kipindi cha ujauzito husababisha uzaaji wa mtoto hai na hujulikana kama kuzaliwa mapema.

Kijusi akifa akiwa ndani ya chupa ya uzazi baada ya wiki 22, au wakati wa kujifungua, kwa kawaida hujulikana kama mzaliwa-mfu au siriziki. Kuzaa mapema na uzazimfu kwa jumla hauchukuliwi kama kuharibika mimba ingawa matumizi ya maneno haya wakati mwingine yakaingiliana.

Kati ya 10% na 50% ya mimba hutamatishwa kwa njia zinazoweza kubainishwa kimatibabu, kutegemea umri na afya ya mwanamke mjamzito.
Mimba nyingi huharibika katika hatua za mapema sana za ujauzito, kiasi kwamba mwanamke hafahamu

kwamba alikuwa mjamzito. Utafiti mmoja uliofanywa kupima homoni za kutoa yai na ujauzito uligundua kuwa 61.9% ya uhamili ulipotezwa kabla ya wiki 12, na 91.7% ya kuhabirika huko kulitokea bila ya dalili, na bila ya fahamu ya mwanamke aliyekuwa mjamzito.

Hatari ya kutoka mimba ghafla hupungua kwa kiasi kikubwa baada ya wiki 10 kutoka kipindi cha mwisho cha hedhi.

Kisababishi kikuu cha mimba kuharibika katika miezi mitatu ya kwanza huwa matatizo ya kromosomu ya kiinitete / kijusi, [3]hali ambayo husababisha angalau 50% ya kutoka kwa mimba mapema.

Sababu nyingine ni pamoja na magonjwa ya mishipa (kama lupus), kisukari, matatizo mengine ya homoni, maambukizi, na matatizo ya chupa ya uzazi.

Umri mkubwa na historia ya mimba zilizotangulia kuharibika ni sababu mbili kuu zinazohusishwa kwa pakubwa na mimba kuharibika ghafla.
Hiyo inaweza pia kusababishwa na kiwewe kinachotokana na ajali.Mkuu charminglady
 
JF Doctors
naombeni ushauri kwani nina MYOMA inanisumbua sana,baada ya kupima nikakuta zipo 5 zenye size tofauti na kila nikipachikwa mimba hutokea miscarriage na nimeelezwa kuwa miscarriage hizo husabishwa na MYOMA zinagombania nafasi na mtoto na mwisho wa siku zenyewe hushinda

Nacho omba kama kuna dawa ya kuziondoa kabisa ama ni lazima nifanyiwe operation?

Nawasilisha

Waweza fanyiwa procedure iitwayo "Magnetic resonance-guided focused ultrasound surgery"
yenyewe haitaji upasuaji,lakini sina hakika kama Tz wanafanya hiyo procedure.
 
Huwa tunasikia Wachungaji wanaponya, viwete, vipofu, ukoma, wazimu, au huwa ile ni "wajinga ndio waliwao""?

Nakumbuka Nyerere aliwapiga marufuku pale mnazi mmoja akawaambia kama wakweli nendeni Muhimbili na Oshen rodi, wagonjwa wamejaa huko.

Nenda India.
 
Mimba iliyoharibika wiki sita hivi baada ya kutungwa, yaani wiki nane hivi baada yahedhi ya mwisho.

220px-Karlsruhe_Hauptfriedhof_Kleinstkinder.jpg

Shamba la Mungu kwa watoto wasiozaliwa.

Mimba kuharibika ni tukio linalopatikana mara nyingi katika wanawake na mamalia wa kike kutokana na shida mbalimbali katika ukuaji wamimba tumboni mwa mama.

Ni tukio tofauti na utoaji mimba ambalo linasababishwa na binadamu kwa makusudi.
Matukio yote mawili kwa kawaida yanaleta matatizo mbalimbali kwa mama.

Kuharibika kwa kijusi au kiinitete pengine kunatokana na mfadhaiko wa kiajali au sababu za kimaumbile. Mimba nyingi huharibika kutokana na kutonakiliwa kisahihi kwa kromosomu; pia huweza kuharibika kutokana na mazingira.

Mimba inayotamatika kabla ya wiki ya 37 katika kipindi cha ujauzito husababisha uzaaji wa mtoto hai na hujulikana kama kuzaliwa mapema.

Kijusi akifa akiwa ndani ya chupa ya uzazi baada ya wiki 22, au wakati wa kujifungua, kwa kawaida hujulikana kama mzaliwa-mfu au siriziki. Kuzaa mapema na uzazimfu kwa jumla hauchukuliwi kama kuharibika mimba ingawa matumizi ya maneno haya wakati mwingine yakaingiliana.

Kati ya 10% na 50% ya mimba hutamatishwa kwa njia zinazoweza kubainishwa kimatibabu, kutegemea umri na afya ya mwanamke mjamzito.

Mimba nyingi huharibika katika hatua za mapema sana za ujauzito, kiasi kwamba mwanamke hafahamu kwamba alikuwa mjamzito. Utafiti mmoja uliofanywa kupima homoni za kutoa yai na ujauzito uligundua kuwa 61.9% ya uhamili ulipotezwa kabla

ya wiki 12, na 91.7% ya kuhabirika huko kulitokea bila ya dalili, na bila ya fahamu ya mwanamke aliyekuwa mjamzito.
Hatari ya kutoka mimba ghafla hupungua kwa kiasi kikubwa baada ya wiki 10 kutoka kipindi cha mwisho cha hedhi.

Kisababishi kikuu cha mimba kuharibika katika miezi mitatu ya kwanza huwa matatizo ya kromosomu ya kiinitete / kijusi, hali ambayo husababisha angalau 50% ya kutoka kwa mimba mapema.

Sababu nyingine ni pamoja na magonjwa ya mishipa (kama lupus), kisukari, matatizo mengine ya homoni, maambukizi, na matatizo ya chupa ya uzazi.

Umri mkubwa na historia ya mimba zilizotangulia kuharibika ni sababu mbili kuu zinazohusishwa kwa pakubwa na mimba kuharibika ghafla.

Hiyo inaweza pia kusababishwa na kiwewe kinachotokana na ajali.
 
Mke wangu alikuwa na mimba ya miezi 2, alipata homa mimba ikaharibika. Mpaka sasa ni siku ya kumi toka aanze kupata damu baada ya mimba kuharibika. Huku nilipo ni kijijini sana na daktari wa zahanati kasema damu itakata yenyewe. Je, ni dawa gani anatumia mwanamke aliyeharibu mimba kama antbiotic? Je, ni dawa gani inasaidia kukata damu? Msaada jamani. Huku nilipo ni zaidi ya kijijini.
 
Anatoka damu kiasi gani? Kama anajaza pedi moja ndani ya lisaa limoja anapoteza damu nyingi sana!
Kwa kawaida huwa anaenda hedhi siku ngapi? Mara nyingine baada ya kupoteza mimba mtu anaweza kwenda hedhi siku nyingi kuliko kawaida.

Either way, I suggest uende hospitali kubwa kidogo! Maisha ya mkeo yaweza kuwa hatarini hapa!
Poleni sana. Mungu atawaponya!
 
Mkuu pole sana,hapo hata kama ni kijijini sana mpeleke mkeo hospitali kwaajili ya kunusuru maisha.
 
Mkimbize hospital haraka. usiulize mkuu. Kimbiza hospitali fasta kabla hata madoctor hawajagoma tena.
 
Mkuu pole sana. kwa kawaida baada ya mimba kutoka mwanamke hutoka damu week 3 -5 wengine hadi week 8. Zingatia yafuatayo ili kuokoa maisha ya mkeo 1. Mpeleka hospitali kubwa referal hosp 2. Hakikisha anakunywa maji na juice ya kutosha 3. Hakikisha anatumia matunda ili kupata vitamin kama machungwa,nanasi,embe, papai etc 4. Hauruhusiwi kusex na mkeo mpaka atakapopona 5. Haruhusiwi kuingizi kitu chochote kwenye uke 6. Haruhusiwi kufanya kazi yoyote mpaka apone 7. Haruhusiwi kufanya mazozi yoyote 8.apatiwe vitamin c and k supprement 9. Iron sulphate apewe kwa ajili kuzuia anemia 10. Antibiotic hapa mpaka vipimo ili kujua kama anainfection . 11. Usifanya uzembe kumbuka kutoka kwa damu ni hatari sana anapote maji, minerals, mpeleke hospita fasta kama huna hela kopa
 
Back
Top Bottom