narudi naenda kumuita dr.liwa
Ngoja anakuja utamuuliza!Hivi ni Dr. Liwa au Dr. Riwa?
Vukani, mbona maswali magumu haya. Hivi leo umewaza nini?
kwanini mwanadamu anakufa?
jamani kwa mtindo huu mgonjwa siatakuwa keshakufa
ndio jmn maana jibu ya utra sound sijalielewa kama ujuavyo hospital zetu hizi ikifika saa saba doctor hayupo rudi kesho so before hiyo kesho bora nijue nini?