Kuhamia Dodoma: Bajeti kuvurugwa ili kuhamisha maelfu ya watumishi, wadau wasema bunge hakuna fungu

Nyie Bavicha simlikimbia bunge hamna haki ya kujadili burget,Dodoma ni lazima kuhamia mwaka huu haya ni maamuzi yenye manufaa kwa wengi
 
Ofisi ya PM ilihamishiwa Dodoma wakati wa Sokoine (~miaka 34 iliyopita) lakini PM mwenyewe hakuhama hadi leo! Kiutaratibu, ofisi zote za kibalozi na za mashirika ya kimataifa yenye hadhi ya kibalozi zinapaswa kuwa pale makao makuu ya serikali yalipo. Balozi zenye majengo makubwa na ya kudumu kama Marekani, Kenya, Zambia na nchi za Umoja wa Ulaya (EU) hazina namna itabidi watafute viwanja na kujenga upya Dodoma!
 
Tuweke Orodha Ya Wateuliwa Wa Rais Ambao Kimsingi Na Agizo Lake Lazima Aende Nao Dodoma Kule:-
Makamu Wa Rais
Waziri Mkuu
Mkuu Wa Majeshi (CDF)
Mkuu Wa Jeshi La Police
Mkuu Wa Usalama Wa Taifa
Mkuu Wa Takukuru
Mkuu Wa Jeshi La Magereza
Ongozeeni Orodha
CAG
Mwanasheria Mkuu
Jaji Mkuu
Kamishna Mkuu wa TRA
 
Yangu macho na masikio hadi mwisho wa Series za Movies hizi...cha mno na cha Msingi na Mbolea zaidi ni TUWE NA KUMBU KUMBU TU TUSIJERUKANA maana Wanasiasa hawachelewi kujikana pamoja na kauli zao.

Siyo mchezo kuamisha Serikali kwani Fedha ndiyo Kipimo na hakika hatuna pesa za kutosha kwani hata Bajesti ya Mwaka huu imeonyesha kwa mfano Wizara ya Viwanda ambapo ni dnoto kuwa nchi ya Viwanda kwa Bajeti ile labda miujiza.

Na kwa hisani ndiyo hivyo tena wameua winga kamaa MCC hatuzitaki mbichi hizi...Yu Chan Chu juzi kwa hisani Reli sasa sijui tena itakuwaje??

Anyway TUWE NA KUMBUKUMBU TU.
 
Hata kama wamerogwa naamini wana pointi kuuliza hasa baada ya kuona kuna commitment ya by September. Hapo ndio malengo ya budget na uhalisia kupishana. Sio issue ya BAVICHA tu tunatakiwa wote tudadisi.
September ni majaliwa, Magufuli amesema within five years, hili nalo pia la kuuliza?
 
Kuhama ni muhimu, na mimi naona ni hatua nzuri JPM amechukua. Nafikiri watahama hatua kwa hatua. Sidhani kama unaweza kuhamisha Wizara zote kwa mara moja.


HILI uliloliongea wewe kuhama kwa hatua ndilo ambalo KIONGOZI angetakiwa kulitumia ili asiwape wachambuzi wa mambo maswali mengi ya kujiuliza.. .Tatizo ni kauli ya kusema kuwa Mwezi Septemba wote wawe washahamia dodoma...Lazima ujiulize ?!!...

Kuhama mdogo mdogo mbona kunawezekana tuu...
 
Mkuu,

Kuna uthibitisho wowote kwamba serikali hufuata mafungu yaliyopitishwa na bunge?
Mfano matumizi ya katiba mpya yalipitishwa lini?
Yawezekana kabisa Rais akiamua lolote litafanyika tu, wanasiasa wengi wakiwemo wabunge wapo wapo tu kufuata upepo (hawajui nguvu yao).
Hata hivyo, hali hii yaweza kuwa na manufaa kwa nchi tunapokuwa na Mkuu wa nchi mzalendo na mwenye AKILI nzuri inayowaza kwa ufanisi.
SAWA SAWA... kama magufuli
 
Atatumia fungu la matumizi mengineyo ktk bajeti ya ofc yake..
Matumizi mengineyo huwa yamepangiwa vitu vya kufanya,sio kila linaloibuka,kuna items kadhaa za jumla na zimeshakisiwa,sio holela holela
 
Siyo kila MTU anayesema ukweli no Bavicha! Mradi mkubwa kama ule wa kuhamia Dodoma hauwezi kutekelezwa kitaalam bila kutengewa fungu kwenye bajeti! Tutegemee kutakiwa kufunga mikanda
unamuda gani umeanza kufatilia maswala ya nchi yako?sorry nakuuliza sio kwa kukosea heshima...ila kama kweli wewe umekuwa ukifatilia hili swala sio la leo.
 
Nasubiri nione malori yakihamisha mizigo kutoka dar kwenda Dodoma!!

Kwa hakika sio chini ya trilioni Kumi kuhamisha serikali,kujengea watumishi Nyumba,kujenga maghorofa ya ofisi,posho za uhamisho,
 
Sioni tena separation of Power niliyojifunza kwenye Civics.
Huwezi ukaiona kwakua katika Tanzania CIVICS ni THEORY...
Na bahati mbaya tunayofundishwa yanabaki huko huko kwenye vitabu...

Tusubiri TRUMP aje atufundishe jinsi ya kufanya maamuzi kwa kuzingatia tunayofundishwa.
 
Hii ni awamu ya 5, tunakwenda kwa kauli za short cut "Anaetaka kuendelea na kazi aende Dodoma na kwa gharama zake mwenyewe hakuna pesa ya uhamisho, kwani hata Dar wengi mlikuja kutoka mikoani kwa gharama zenu kuja kutafuta kazi na mkapata.
 
Huku tuliko sisi mafungu mengineyo yalifutwa. Labda kama waziri mkuu anayo-lakini hahami pekeyake au sivyo ile misafara isiokwisha kati ya DAR na DDM itaanza tena.
Nani kakwambia yalifutwa??yalipunguzwa ila sio kufutwa (tafuta bajeti usome)..u can't run ofc bila matumizi mengineyo...kakwambia ana hama na ofc nzima??wanakaa dodoma mwezi mzima kwa ajili ya bunge,we unadhani ofc yake yote nayo inakua imehama??
 
Back
Top Bottom