Haileti maana mtu anatoka Mlimba TX kwenda Morogoro (420km), kisa anaenda mkoani.View attachment 2713287View attachment 2713289
Hii Tabia ya kugawa gawa Mikoa inakera sana; nilisamehe Arusha wavoigawa kupata Manyara but now Mwanza wameigawa kupata Geita, Mbeya wameigawa kupata Songwe, Iringa wameigawa kupata Njombe, Rukwa wameigawa, Dar wameigawa kupata wilaya zingine ukiangalia Dar yenyewe ndogo.
Na kuna kila dalili Morogoro pia kugawanywa na mikoa yote. Lengo ni kupata Rushwa na kutengeneza ofisi nyingi na mishahara mingine hence rushwa.
Mfano check ramani nizoweka hapo juu; China ni sq Km million 9.5 na Tanzania now sq Km laki 945,000 which means China ni Mara kumi ya TZ ila ina provinces 22, TZ 31 Sasa na zitafika 100; even U.S. ina 50, Russia 85, India 29, Brazil 26 na zote ni kubwa sana than TZ.
Ila TZ kila kukicha kugawa coz wanataka more offices kupata rushwa and funding tu. Wanakera sana. Rudisheni Mwanza, Mbeya, Rukwa, Iringa zetu
Wel saidTofauti provinces na Mikoa Kwa maana ya regions.
Mwisho Serikali igawe Mikoa ya Morogoro,Tabora,Ruvuma,Lindi na Pwani Ili kusogeza Huduma zaidi.
Pia Sheria ya ugatuagi wa madaraka Kwa Serikali za mitaa itoe Nguvu zaidi Kwenye Mikoa kujiamulia mambo Yao Ili kuchochea ushindani na Ufanisi.
Devide and rule tena kwakuwea chawaMfano check ramani nizoweka hapo juu; China ni sq Km million 9.5 na Tanzania now sq Km laki 945,000 which means China ni Mara kumi ya TZ ila ina provinces 22, TZ 31 Sasa na zitafika 100; even U.S. ina 50, Russia 85, India 29, Brazil 26 na zote ni kubwa sana than TZ.
Tunatakiwa kuwekeza zaidi kwenye technology mfano serikali mtandao Kwa Sasa sio lazima vitu vingne mtu asafiri 420 Km kwa ajili ya huduma ambazo zinawezwa kumalizwa na mtandao wa internet.Haileti maana mtu anatoka Mlimba TX kwenda Morogoro (420km), kisa anaenda mkoani.
Haikuwa inaleta maana mtu anatoka Ludewa kwenda Iringa mjini (370km) kisa tu anafuata huduma mkoani.
Hizi ndio sababu Mikoa inamegwa.
Nchi kama marekani ina majimbo 50, ila jimbo kama Massachusets lina counties 14, hapo kila county ina Governor ambaye hapa kwetu ni kama mkuu wa mkoa, pia ina county executive, ambaye hapa kwetu ni kama RAS. So hilo jimbo moja la Massachusets lina wakuu wa mikoa 14 na ma-RAS 14.
Bado hapo hujaweka viongozi wengine wa kisiasa, list ni ndefu.
Yani ukiona unaanzishwa mkoa mpya hapa kwetu jua nia sio watu kupeana ukuu wa mkoa, nia ni kuongeza uwezo wa serikali kukusanya mapato na kupeleka huduma kwa jamii.
Wamekunyang'anya? Usiniambie we Mkorea unayeongea kiswahiliNimeona Liaodong peninsula hapo wachina wametunyan'ganya ilibidi iwe Korea .
We unataka makada na machawa wakale wapiView attachment 2713287View attachment 2713289
Hii Tabia ya kugawa gawa Mikoa inakera sana; nilisamehe Arusha wavoigawa kupata Manyara but now Mwanza wameigawa kupata Geita, Mbeya wameigawa kupata Songwe, Iringa wameigawa kupata Njombe, Rukwa wameigawa, Dar wameigawa kupata wilaya zingine ukiangalia Dar yenyewe ndogo.
Na kuna kila dalili Morogoro pia kugawanywa na mikoa yote. Lengo ni kupata Rushwa na kutengeneza ofisi nyingi na mishahara mingine hence rushwa.
Mfano check ramani nizoweka hapo juu; China ni sq Km million 9.5 na Tanzania now sq Km laki 945,000 which means China ni Mara kumi ya TZ ila ina provinces 22, TZ 31 Sasa na zitafika 100; even U.S. ina 50, Russia 85, India 29, Brazil 26 na zote ni kubwa sana than TZ.
Ila TZ kila kukicha kugawa coz wanataka more offices kupata rushwa and funding tu. Wanakera sana. Rudisheni Mwanza, Mbeya, Rukwa, Iringa zetu
That's why Ctak kila mkoa ireport kwa central gvt Bali iwe na ajenda zao wenyewe za uchumi na zitumike kwa maendeleo yao tu na kila local gvt iendelee na kazi yake co kugawa gawa tuHaileti maana mtu anatoka Mlimba TX kwenda Morogoro (420km), kisa anaenda mkoani.
Haikuwa inaleta maana mtu anatoka Ludewa kwenda Iringa mjini (370km) kisa tu anafuata huduma mkoani.
Hizi ndio sababu Mikoa inamegwa.
Nchi kama marekani ina majimbo 50, ila jimbo kama Massachusets lina counties 14, hapo kila county ina Governor ambaye hapa kwetu ni kama mkuu wa mkoa, pia ina county executive, ambaye hapa kwetu ni kama RAS. So hilo jimbo moja la Massachusets lina wakuu wa mikoa 14 na ma-RAS 14.
Bado hapo hujaweka viongozi wengine wa kisiasa, list ni ndefu.
Yani ukiona unaanzishwa mkoa mpya hapa kwetu jua nia sio watu kupeana ukuu wa mkoa, nia ni kuongeza uwezo wa serikali kukusanya mapato na kupeleka huduma kwa jamii.
That's why nasema km wao jimbo moja can be so big then cc hatuna reason ya kugawa gawa hii mikoa we can strengthen local governments tu
Issue sio maofisi tu, kuna huduma kama za kimahakama, huduma za afya, etc....bado inakuwa changamoto.Tunatakiwa kuwekeza zaidi kwenye technology mfano serikali mtandao Kwa Sasa sio lazima vitu vingne mtu asafiri 420 Km kwa ajili ya huduma ambazo zinawezwa kumalizwa na mtandao wa internet.
Huduma za Internet na Barabara zikiwa Sawa hakuna haya kuongeza mikoa
Hapo ndio swala la serikali za majimbo linakuja.That's why Ctak kila mkoa ireport kwa central gvt Bali iwe na ajenda zao wenyewe za uchumi na zitumike kwa maendeleo yao tu na kila local gvt iendelee na kazi yake co kugawa gawa tu