Kugawa gawa Mikoa Tanzania

Nimeona Liaodong peninsula hapo wachina wametunyan'ganya ilibidi iwe Korea .
 
View attachment 2713287View attachment 2713289

Hii Tabia ya kugawa gawa Mikoa inakera sana; nilisamehe Arusha wavoigawa kupata Manyara but now Mwanza wameigawa kupata Geita, Mbeya wameigawa kupata Songwe, Iringa wameigawa kupata Njombe, Rukwa wameigawa, Dar wameigawa kupata wilaya zingine ukiangalia Dar yenyewe ndogo.

Na kuna kila dalili Morogoro pia kugawanywa na mikoa yote. Lengo ni kupata Rushwa na kutengeneza ofisi nyingi na mishahara mingine hence rushwa.

Mfano check ramani nizoweka hapo juu; China ni sq Km million 9.5 na Tanzania now sq Km laki 945,000 which means China ni Mara kumi ya TZ ila ina provinces 22, TZ 31 Sasa na zitafika 100; even U.S. ina 50, Russia 85, India 29, Brazil 26 na zote ni kubwa sana than TZ.

Ila TZ kila kukicha kugawa coz wanataka more offices kupata rushwa and funding tu. Wanakera sana. Rudisheni Mwanza, Mbeya, Rukwa, Iringa zetu
Haileti maana mtu anatoka Mlimba TX kwenda Morogoro (420km), kisa anaenda mkoani.

Haikuwa inaleta maana mtu anatoka Ludewa kwenda Iringa mjini (370km) kisa tu anafuata huduma mkoani.

Hizi ndio sababu Mikoa inamegwa.

Nchi kama marekani ina majimbo 50, ila jimbo kama Massachusets lina counties 14, hapo kila county ina Governor ambaye hapa kwetu ni kama mkuu wa mkoa, pia ina county executive, ambaye hapa kwetu ni kama RAS. So hilo jimbo moja la Massachusets lina wakuu wa mikoa 14 na ma-RAS 14.

Bado hapo hujaweka viongozi wengine wa kisiasa, list ni ndefu.

Yani ukiona unaanzishwa mkoa mpya hapa kwetu jua nia sio watu kupeana ukuu wa mkoa, nia ni kuongeza uwezo wa serikali kukusanya mapato na kupeleka huduma kwa jamii.
 
Tofauti provinces na Mikoa Kwa maana ya regions.

Mwisho Serikali igawe Mikoa ya Morogoro,Tabora,Ruvuma,Lindi na Pwani Ili kusogeza Huduma zaidi.

Pia Sheria ya ugatuagi wa madaraka Kwa Serikali za mitaa itoe Nguvu zaidi Kwenye Mikoa kujiamulia mambo Yao Ili kuchochea ushindani na Ufanisi.
Wel said
 
Mfano check ramani nizoweka hapo juu; China ni sq Km million 9.5 na Tanzania now sq Km laki 945,000 which means China ni Mara kumi ya TZ ila ina provinces 22, TZ 31 Sasa na zitafika 100; even U.S. ina 50, Russia 85, India 29, Brazil 26 na zote ni kubwa sana than TZ.
Devide and rule tena kwakuwea chawa
 
Katavi eti nayo ni mkoa! Kuna mkuu wa mkoa n.k! Mkoa una wstu laki 4 na mapato TRA 2022 bilioni 10 tu wakati mkoa Arusha walikusanya bilioni 450! Kulikuwa na haja gani kuanzisha Mkoa Katavi? Mikoa 60% zitumike kodi inapokusamywa na 40% zipelekwe serikali kuu! Huu utaratibu wa kutokuwepo mashindano ktk ukudanyaji kodi ktk mikoa ndo inadumaza nchi hii! Angalia California ni 8th largest economy in the world ila 40% ya kodi kubaki ktk state ndo maana Silcon Valley na maendeleo kibao! Sii kama hapa kwetu mkoa hauchamgii chochote unabebwa kisiasa tu kwa jasho la mikoa mingine
 
Haileti maana mtu anatoka Mlimba TX kwenda Morogoro (420km), kisa anaenda mkoani.

Haikuwa inaleta maana mtu anatoka Ludewa kwenda Iringa mjini (370km) kisa tu anafuata huduma mkoani.

Hizi ndio sababu Mikoa inamegwa.

Nchi kama marekani ina majimbo 50, ila jimbo kama Massachusets lina counties 14, hapo kila county ina Governor ambaye hapa kwetu ni kama mkuu wa mkoa, pia ina county executive, ambaye hapa kwetu ni kama RAS. So hilo jimbo moja la Massachusets lina wakuu wa mikoa 14 na ma-RAS 14.

Bado hapo hujaweka viongozi wengine wa kisiasa, list ni ndefu.

Yani ukiona unaanzishwa mkoa mpya hapa kwetu jua nia sio watu kupeana ukuu wa mkoa, nia ni kuongeza uwezo wa serikali kukusanya mapato na kupeleka huduma kwa jamii.
Tunatakiwa kuwekeza zaidi kwenye technology mfano serikali mtandao Kwa Sasa sio lazima vitu vingne mtu asafiri 420 Km kwa ajili ya huduma ambazo zinawezwa kumalizwa na mtandao wa internet.
Huduma za Internet na Barabara zikiwa Sawa hakuna haya kuongeza mikoa
 
View attachment 2713287View attachment 2713289

Hii Tabia ya kugawa gawa Mikoa inakera sana; nilisamehe Arusha wavoigawa kupata Manyara but now Mwanza wameigawa kupata Geita, Mbeya wameigawa kupata Songwe, Iringa wameigawa kupata Njombe, Rukwa wameigawa, Dar wameigawa kupata wilaya zingine ukiangalia Dar yenyewe ndogo.

Na kuna kila dalili Morogoro pia kugawanywa na mikoa yote. Lengo ni kupata Rushwa na kutengeneza ofisi nyingi na mishahara mingine hence rushwa.

Mfano check ramani nizoweka hapo juu; China ni sq Km million 9.5 na Tanzania now sq Km laki 945,000 which means China ni Mara kumi ya TZ ila ina provinces 22, TZ 31 Sasa na zitafika 100; even U.S. ina 50, Russia 85, India 29, Brazil 26 na zote ni kubwa sana than TZ.

Ila TZ kila kukicha kugawa coz wanataka more offices kupata rushwa and funding tu. Wanakera sana. Rudisheni Mwanza, Mbeya, Rukwa, Iringa zetu
We unataka makada na machawa wakale wapi
 
Haileti maana mtu anatoka Mlimba TX kwenda Morogoro (420km), kisa anaenda mkoani.

Haikuwa inaleta maana mtu anatoka Ludewa kwenda Iringa mjini (370km) kisa tu anafuata huduma mkoani.

Hizi ndio sababu Mikoa inamegwa.

Nchi kama marekani ina majimbo 50, ila jimbo kama Massachusets lina counties 14, hapo kila county ina Governor ambaye hapa kwetu ni kama mkuu wa mkoa, pia ina county executive, ambaye hapa kwetu ni kama RAS. So hilo jimbo moja la Massachusets lina wakuu wa mikoa 14 na ma-RAS 14.

Bado hapo hujaweka viongozi wengine wa kisiasa, list ni ndefu.

Yani ukiona unaanzishwa mkoa mpya hapa kwetu jua nia sio watu kupeana ukuu wa mkoa, nia ni kuongeza uwezo wa serikali kukusanya mapato na kupeleka huduma kwa jamii.
That's why Ctak kila mkoa ireport kwa central gvt Bali iwe na ajenda zao wenyewe za uchumi na zitumike kwa maendeleo yao tu na kila local gvt iendelee na kazi yake co kugawa gawa tu
 
Tunatakiwa kuwekeza zaidi kwenye technology mfano serikali mtandao Kwa Sasa sio lazima vitu vingne mtu asafiri 420 Km kwa ajili ya huduma ambazo zinawezwa kumalizwa na mtandao wa internet.
Huduma za Internet na Barabara zikiwa Sawa hakuna haya kuongeza mikoa
Issue sio maofisi tu, kuna huduma kama za kimahakama, huduma za afya, etc....bado inakuwa changamoto.

Pia ukusanyaji wa mapato na uanzishwaji wa vyanzo vipya vya mapato.
 
That's why Ctak kila mkoa ireport kwa central gvt Bali iwe na ajenda zao wenyewe za uchumi na zitumike kwa maendeleo yao tu na kila local gvt iendelee na kazi yake co kugawa gawa tu
Hapo ndio swala la serikali za majimbo linakuja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom