Ulikuwa ni mkutano wa baadhi ya wabunge mkoa Mwanza wakiwashukuru wananchi kwa kuwapa ridhaa tena ya kuwaongoza, mkutano umeambatana na urudishwaji kadi na zikachomwa moto
, Zimerudishwa kadi zaidi ya 90 za CCM na za CUF.Watu walikuwa wengi tizama hizi picha k
Kweli kama alivyosema mkuu hapo juu, hata mm jana nilishudia kipindi nafika mwanza, nilikuta watu kibao maeneo ya kuanzia Nera kuelekea mwaloni kwenye muda saa tisa hivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.