makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,359
- 81,634
MjimwemaKigamboni sehemu gani?
MjimwemaKigamboni sehemu gani?
Hiyo inakua unlimited for one month au?Njoo TTCL mzee baba. Inategemea unataka COPPER au FIBER?
Kama ni Fiber bei ni kama ifuatavyo;
20/10 Mbps ni 55k
40/20 Mbps ni 100k
60/30 Mbps ni 150k
100/50 Mbps ni 200k
UFUNDI ni Bure na utafuatwa mpaka hapo ulipo.
KUhusu vifaa inategemea kama una haraka nunua kama unasubiria ni sawa.
Yeeees, ni Unlimited mkuuHiyo inakua unlimited for one month au?
Njoo PM mkuuMjimwema
Now ni FREE!
Kuanzia survey mpaka ufundi. Nitumie mawasiliano yako na eneo unalotaka kuja kufungiwa hiyo huduma.
Mkuu waya wenu umepita kwenye nyumba yangu je hiyo inaleta unafuu wa gharama za kuungwa?
Yees, ni nafuu na salama.Mkuu waya wenu umepita kwenye nyumba yangu je hiyo inaleta unafuu wa gharama za kuungwa?
Yes, utanunua router ambapo bei yake ni 45,000Boss kutoka nilipo na road ambapo waya zimepita kuna kama 200 meters, je kutakuwa na gharama zaidi ikiwa vifaa nitanunua mwenyewe?
Yes, utanunua router ambapo bei yake ni 45,000
Ulipo tupo.Tegeta basihaya vipi?
Wanakuja
Ulipo tupo.
#RudiNyumbaniKumenoga
TTCL nimefatilia huduma unaenda mwezi wa tano sasa....nimeanza kukata tamaa kwakweli.Now ni FREE!
Kuanzia survey mpaka ufundi. Nitumie mawasiliano yako na eneo unalotaka kuja kufungiwa hiyo huduma.
Mbezi Louis mmefika.?Njoo TTCL mzee baba. Inategemea unataka COPPER au FIBER?
Kama ni Fiber bei ni kama ifuatavyo;
20/10 Mbps ni 55k
40/20 Mbps ni 100k
60/30 Mbps ni 150k
100/50 Mbps ni 200k
UFUNDI ni Bure na utafuatwa mpaka hapo ulipo.
KUhusu vifaa inategemea kama una haraka nunua kama unasubiria ni sawa.
Yes, utanunua router ambapo bei yake ni 45,000
Tumefika Tanzania nzima mkuu.Mbezi Louis mmefika.?
Tunakuja kusimika nguzo zingine 2So huo umbali wa mita 200 kufika kwangu waya mtapitisha kwenye nguzo za umeme au?
Is it truly free?
Pole sana kwa changamoto mkuu. Nakushauri ungeongea na fundi akutajie kifaa kipi na kipi kinachohitajika, kama una bajeti unaweza ukajinunulia vifaa kisha yeye atakuja kukufungia BURE!TTCL nimefatilia huduma unaenda mwezi wa tano sasa....nimeanza kukata tamaa kwakweli.
Mara ya mwisho kama mwezi umeisha sasa fundi wao ananambia vifaa havijafika nchini....na story kama hizo....so nisubiri.
Ni kama nimepwaya hivi.
Asante sana.Pole sana kwa changamoto mkuu. Nakushauri ungeongea na fundi akutajie kifaa kipi na kipi kinachohitajika, kama una bajeti unaweza ukajinunulia vifaa kisha yeye atakuja kukufungia BURE!
#RudiNyumbaniKumenoga