Kufungiwa huduma ya internet gharama zake zipoje?

Njoo TTCL mzee baba. Inategemea unataka COPPER au FIBER?
Kama ni Fiber bei ni kama ifuatavyo;
20/10 Mbps ni 55k
40/20 Mbps ni 100k
60/30 Mbps ni 150k
100/50 Mbps ni 200k

UFUNDI ni Bure na utafuatwa mpaka hapo ulipo.
KUhusu vifaa inategemea kama una haraka nunua kama unasubiria ni sawa.
Hiyo inakua unlimited for one month au?
 
Now ni FREE!
Kuanzia survey mpaka ufundi. Nitumie mawasiliano yako na eneo unalotaka kuja kufungiwa hiyo huduma.
TTCL nimefatilia huduma unaenda mwezi wa tano sasa....nimeanza kukata tamaa kwakweli.

Mara ya mwisho kama mwezi umeisha sasa fundi wao ananambia vifaa havijafika nchini....na story kama hizo....so nisubiri.

Ni kama nimepwaya hivi.
 
Njoo TTCL mzee baba. Inategemea unataka COPPER au FIBER?
Kama ni Fiber bei ni kama ifuatavyo;
20/10 Mbps ni 55k
40/20 Mbps ni 100k
60/30 Mbps ni 150k
100/50 Mbps ni 200k

UFUNDI ni Bure na utafuatwa mpaka hapo ulipo.
KUhusu vifaa inategemea kama una haraka nunua kama unasubiria ni sawa.
Mbezi Louis mmefika.?
 
TTCL nimefatilia huduma unaenda mwezi wa tano sasa....nimeanza kukata tamaa kwakweli.

Mara ya mwisho kama mwezi umeisha sasa fundi wao ananambia vifaa havijafika nchini....na story kama hizo....so nisubiri.

Ni kama nimepwaya hivi.
Pole sana kwa changamoto mkuu. Nakushauri ungeongea na fundi akutajie kifaa kipi na kipi kinachohitajika, kama una bajeti unaweza ukajinunulia vifaa kisha yeye atakuja kukufungia BURE!

#RudiNyumbaniKumenoga
 
Back
Top Bottom