Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,366
- 4,556
Amazing amazing, avache!! Madelu anachunga ng'ombe. They arent working on chopping off economic challenges, wamekwapua akiba ya hazina wakaona waje na quick refilling options za tozo.
Amazing amazing, avache!! Madelu anachunga ng'ombe. They arent working on chopping off economic challenges, wamekwapua akiba ya hazina wakaona waje na quick refilling options za tozo.
Pole vere machi sa!Yaani hasara nimemuajiri mtu ninamlipa bado wateja wachache sana tofauti na kabla, sasa nimeweka interval hadi December kama hawajafanyia kazi bye bye
Wewe utakuwa unakaa kwa shemeji yakoWabongo bana yani vikodi vidogo tudogo mnazokatwa na kutozwa yani mnalalamika kama vibinti vya chekechea vikicheleweshewa uji wa asubuhi. Lipeni kodi bana kwa CCM iwaletee maendeleo siyo kila kukicha ni kulialia tu.
Unaandika kama vile unataka watu wakuoneee huruma.Yaani hasara nimemuajiri mtu ninamlipa bado wateja wachache sana tofauti na kabla, sasa nimeweka interval hadi December kama hawajafanyia kazi bye bye
Wanaofunga biashara kwa kasi sio wenye MPESA tu hata wenye maduka ya Mangi na ma buchaWimbi la wafanyabiashara wa tigopesa kufunga limekuwa kubwa Sana kwasababu kuna wenzio wameshafunga biashara zao Kwa kukosa wateja.
Kwa muda ambao umejiwekea Hadi December ni plan mzuri kibiashara
Mbona muuaji Chemba anasema transaction hazijashuka Sana maana yake watu wanatuma na kupokea miamala kama zamani? au propaganda?Wimbi la wafanyabiashara wa tigopesa kufunga limekuwa kubwa Sana kwasababu kuna wenzio wameshafunga biashara zao Kwa kukosa wateja.
Kwa muda ambao umejiwekea Hadi December ni plan mzuri kibiashara
Kuna jirani yako mwenye aina iyo ya biashara atamshukuru Mungu kwa kusikia ombi lake.Yaani hasara nimemuajiri mtu ninamlipa bado wateja wachache sana tofauti na kabla, sasa nimeweka interval hadi December kama hawajafanyia kazi bye bye
Biashara wateja. Wateja wamesusa ,unategemea nini?Biashara ngumu kwa sababu ya tozo za miamala?
hahahaaa mkuu mbona unasanua siri ya kambi??mi hapa nakamua tuu.voda wanakata 130 mteja nampa 4400 nabakiwa na faida ya 470 (hapo ni kwa mteja aliyetoa buku 5, fikira wale wakutoa laki lakikuna jamaa yy sasavihi anasema kwake ni sherehe.nilienda kwake kutoa laki 8 nikashangaa inaenda yote bila kukatwa alafu akanipa laki 7 na 90 ,nikamuuliza mnangu mbona sielew
akajibu man hapa 10k ndo faida.nikasema sinasikia zile laini za makato zinafungiwa jamaa akanijibu "bwnamkubwa jifunze kula na wakubwa,ukiwa na wakubwa hakiharibik kitu"
niliondoka nacheka yaan asubuh asubuh ameshakula 10k ??,kumbe kuna watu wanafungua mpesa af humo humo wana mbinu za kibaharia .
laki moja anakata 4000 washamfanyia vikao wafanyabiashara wenzake ila waapi.
wakuu nilikuw nafafanua kdg so asije mtu pm kuuliza anafanyaje mi sina chochote nachokijua kuhusu biashara ya mpesa
Mkuu, hivi mantiki ya malalamiko ya 'taifa' ni kwa sababu ulizozitaja wewe?Wabongo bana yani vikodi vidogo tudogo mnazokatwa na kutozwa yani mnalalamika kama vibinti vya chekechea vikicheleweshewa uji wa asubuhi. Lipeni kodi bana kwa CCM iwaletee maendeleo siyo kila kukicha ni kulialia tu.
nimemuelewa 👆👆👆,,,,madeni ndio mgogoro kwa nchi zetu za Africa.....tunachofanya ni kuwafurahisha hao mabedui....we can afford to pay.......huku tunanyongwa hatari......
Unataka line za uwakala mkuuTafadhali niuzie hizo laini zake mkuu kwa uaminifu mkubwa