Kufikia mwezi wa 12, nitafunga kibanda cha M-PESA

Nimesahau mengi ila nakumbuka kwa mbali enzi za miamala ya mpesa. Mwigilu ameau n'gombe wa maziwa.
 
Wabongo bana yani vikodi vidogo tudogo mnazokatwa na kutozwa yani mnalalamika kama vibinti vya chekechea vikicheleweshewa uji wa asubuhi. Lipeni kodi bana kwa CCM iwaletee maendeleo siyo kila kukicha ni kulialia tu.
 
Yaani hasara nimemuajiri mtu ninamlipa bado wateja wachache sana tofauti na kabla,sasa nimeweka interval hadi December kama hawaja fanyia kazi bye bye
Daaah pole sana mkuu, juzi waziri kasema eti nyie waongo mbona fedha ya serikali inayokusanywa haijashuka? Anyway mimi nakuamini usemacho maana pale mtaani kwangu mawakala wawili wameniambia kama wewe usemavyo. Zamani nikiwa mbali nilizoea kuwapigia na kuwaambia mtumie fulani laki moja jioni nikipita hapo nakupa cash sasa hivi imekuwa ngumu kweli....
 
Wabongo bana yani vikodi vidogo tudogo mnazokatwa na kutozwa yani mnalalamika kama vibinti vya chekechea vikicheleweshewa uji wa asubuhi. Lipeni kodi bana kwa CCM iwaletee maendeleo siyo kila kukicha nikulialia tu.
Kwa hiyo unataka kusema hatupo uchumi wa kati siyo??
 
Wabongo bana yani vikodi vidogo tudogo mnazokatwa na kutozwa yani mnalalamika kama vibinti vya chekechea vikicheleweshewa uji wa asubuhi. Lipeni kodi bana kwa CCM iwaletee maendeleo siyo kila kukicha nikulialia tu.
Aisee laiti ungejua
 
Yaani hasara nimemuajiri mtu ninamlipa bado wateja wachache sana tofauti na kabla,sasa nimeweka interval hadi December kama hawaja fanyia kazi bye bye
Pole! Tanzania biashara yoyote haieleweki kutokana na walioko serikalini.
 
Hali ni ngumu sana! Mimi nafanya kazi ya uwakala wa pesa kwa mitandao minne ya simu naona utofauti mkubwa sana, wateja wamepungua kamisheni hazisomi kabisa hadi zinakatisha tamaa ziko nusu ya makisio ya miezi ya nyuma..
Kweli tutafunga kwani malengo ya kazi ya uwakala wa pesa hayawezi kufikiwa, hakuna biashara sasa hivi
 
Back
Top Bottom