GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
Unasema..!?
wanawake wa kichaga!
Unasema..!?
Huwa wanaanza hivyo hivyo.
Anyways, sasa hapa mnataka kufahamiana au kutongozana? Au kujuana au kupeana deal wapi kitimoto poa au jamii sacosi au shamba la jf au nini hasa.
wanawake wa kichaga!
Mitishamba umenichekesha sana,ila ukweli ni huo,nani ya JF anajidai mstaarabu,nje ya hapa hovyoooo!
Most people are only alive because it is illegal to shoot them...