Kuepusha Shari: Ushauri wa Bure kwa Mbowe, Tume ya Taifa na CCM Kuhusiana na Kuaminiwa kwa Matokeo

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,485
40,014
Neno la Hekima: Kama kweli Mbowe na Team Lowassa wanaamini kuwa matokeo ya Urais yamehujumiwa wanahitaji kwa haraka kufanya hivi: Kwa matokeo ya majimbo 113 ambayo yametangazwa hadi hivi sasa watoe nakala za mawakala wao kwenye majimbo hayo ili wananchi waweze kulinganisha kama yanaendana na yale ya Tume hasa kwa vile Jaji Lubuva Tumatatu alisema kuwa wao wanatangaza matokeo yale yale yaliyosainiwa majimboni.


Wakifanya hivi wataweza kuonesha kama Tume inaweza kuaminiwa kuendelea kutangaza matokeo au la. Ushauri huu pia unaweza kuwafaa CCM nao wafanye hivyo hivyo ili tuone hili. Lakini pia natoa ushauri kama huu kwa TUme ya Taifa ya Uchaguzi Kuagiza Wasimamizi wa Uchaguzi kwenye Majimbo yote ambayo tayari yametangazwa rasmi na yale yatakayotangazwa rasmi kuweka hadharani nakala zao za majimbo na hivyo tutaweza kulinganisha matokeo ya vyama, wasimamizi wa uchaguzi na tume ili tuepushe mambo ya kuitana Ikulu tena kwa mazungumzo zaidi.

Ili vyama visijisikie kuwa kwenye mtego, Tume iruhusu vyama hivyo kuweka hadharani nakala za matokeo yao kwa majimbo yale ambayo yameshatangazwa na mengine baada ya kutangazwa ili kukata mzizi wa fitina.


Hii ndio njia pekee ya kufanya watu waamini matokeo yanayoendelea au la. M. M. Mwanakijiji
 
Ni mpuizi tu ambaye hatoamini matokeo...kwa mfano longido ccm inechukua kata zaidi ya chadema lakini mbunge na urais ni Ukawa!
 
Neno la Hekima: Kama kweli Mbowe na Team Lowassa wanaamini kuwa matokeo ya Urais yamehujumiwa wanahitaji kwa haraka kufanya hivi: Kwa matokeo ya majimbo 113 ambayo yametangazwa hadi hivi sasa watoe nakala za mawakala wao kwenye majimbo hayo ili wananchi waweze kulinganisha kama yanaendana na yale ya Tume hasa kwa vile Jaji Lubuva Tumatatu alisema kuwa wao wanatangaza matokeo yale yale yaliyosainiwa majimboni.


Wakifanya hivi wataweza kuonesha kama Tume inaweza kuaminiwa kuendelea kutangaza matokeo au la. Ushauri huu pia unaweza kuwafaa CCM nao wafanye hivyo hivyo ili tuone hili. Lakini pia natoa ushauri kama huu kwa TUme ya Taifa ya Uchaguzi Kuagiza Wasimamizi wa Uchaguzi kwenye Majimbo yote ambayo tayari yametangazwa rasmi na yale yatakayotangazwa rasmi kuweka hadharani nakala zao za majimbo na hivyo tutaweza kulinganisha matokeo ya vyama, wasimamizi wa uchaguzi na tume ili tuepushe mambo ya kuitana Ikulu tena kwa mazungumzo zaidi.

Ili vyama visijisikie kuwa kwenye mtego, Tume iruhusu vyama hivyo kuweka hadharani nakala za matokeo yao kwa majimbo yale ambayo yameshatangazwa na mengine baada ya kutangazwa ili kukata mzizi wa fitina.


Hii ndio njia pekee ya kufanya watu waamini matokeo yanayoendelea au la. M. M. Mwanakijiji

Wazo lako zuri ila genge la kupost kura feki ndo tatizo pamoja na kuwa wameanza kukamatwa wamesha tuvuruga kikakili
 
Naunga mkono hoja kwa asilimia 100. Hili litaondoa utata moja kwa moja. Vinginevyo umma uangalie cha kufanya kwani kuendelea kuwa na tume inayolalamikiwa miaka yote haiwezekani tena. Na huko znz kuna shida gani mbona wapiga kura ni wachache?
 
Neno la Hekima: Kama kweli Mbowe na Team Lowassa wanaamini kuwa matokeo ya Urais yamehujumiwa wanahitaji kwa haraka kufanya hivi: Kwa matokeo ya majimbo 113 ambayo yametangazwa hadi hivi sasa watoe nakala za mawakala wao kwenye majimbo hayo ili wananchi waweze kulinganisha kama yanaendana na yale ya Tume hasa kwa vile Jaji Lubuva Tumatatu alisema kuwa wao wanatangaza matokeo yale yale yaliyosainiwa majimboni.


Wakifanya hivi wataweza kuonesha kama Tume inaweza kuaminiwa kuendelea kutangaza matokeo au la. Ushauri huu pia unaweza kuwafaa CCM nao wafanye hivyo hivyo ili tuone hili. Lakini pia natoa ushauri kama huu kwa TUme ya Taifa ya Uchaguzi Kuagiza Wasimamizi wa Uchaguzi kwenye Majimbo yote ambayo tayari yametangazwa rasmi na yale yatakayotangazwa rasmi kuweka hadharani nakala zao za majimbo na hivyo tutaweza kulinganisha matokeo ya vyama, wasimamizi wa uchaguzi na tume ili tuepushe mambo ya kuitana Ikulu tena kwa mazungumzo zaidi.

Ili vyama visijisikie kuwa kwenye mtego, Tume iruhusu vyama hivyo kuweka hadharani nakala za matokeo yao kwa majimbo yale ambayo yameshatangazwa na mengine baada ya kutangazwa ili kukata mzizi wa fitina.


Hii ndio njia pekee ya kufanya watu waamini matokeo yanayoendelea au la. M. M. Mwanakijiji
Nani mwenye haki ya kutangaza kura za URAIS?
 
Unajua kuna nakala ngapi za matokeo? Chuki hupofusha. Hupendi Lowasa ashinde, ni haki yako. Lakini na wizi wa wazi kabisa wa kura ambazo zinazidi 100% unashindwa kukemea? Ok, mwisho wa siku Magufuli ataapisha na kuwa rais-natumai utaacha kuwahadaa watu kuwa wewe (na wenzio wa RaiaMuovu) ni mwanamabadiliko. Itapendeza kama kazi yenu itakuwa kusifu, na kusifu na kusifu serikali ya Magufuli na CCM.
 
Neno la Hekima: Kama kweli Mbowe na Team Lowassa wanaamini kuwa matokeo ya Urais yamehujumiwa wanahitaji kwa haraka kufanya hivi: Kwa matokeo ya majimbo 113 ambayo yametangazwa hadi hivi sasa watoe nakala za mawakala wao kwenye majimbo hayo ili wananchi waweze kulinganisha kama yanaendana na yale ya Tume hasa kwa vile Jaji Lubuva Tumatatu alisema kuwa wao wanatangaza matokeo yale yale yaliyosainiwa majimboni.


Wakifanya hivi wataweza kuonesha kama Tume inaweza kuaminiwa kuendelea kutangaza matokeo au la. Ushauri huu pia unaweza kuwafaa CCM nao wafanye hivyo hivyo ili tuone hili. Lakini pia natoa ushauri kama huu kwa TUme ya Taifa ya Uchaguzi Kuagiza Wasimamizi wa Uchaguzi kwenye Majimbo yote ambayo tayari yametangazwa rasmi na yale yatakayotangazwa rasmi kuweka hadharani nakala zao za majimbo na hivyo tutaweza kulinganisha matokeo ya vyama, wasimamizi wa uchaguzi na tume ili tuepushe mambo ya kuitana Ikulu tena kwa mazungumzo zaidi.

Ili vyama visijisikie kuwa kwenye mtego, Tume iruhusu vyama hivyo kuweka hadharani nakala za matokeo yao kwa majimbo yale ambayo yameshatangazwa na mengine baada ya kutangazwa ili kukata mzizi wa fitina.


Hii ndio njia pekee ya kufanya watu waamini matokeo yanayoendelea au la. M. M. Mwanakijiji

Na ZEC, CCM, na CUF nao unawapa huu ushauri?
 
Wee Mzee Mwanakijiji unaijua Shari au unasema? Huo Ushauri wako kampe mgombea wako Magufuli na yule bosi wako January Makamba, tangu lini umekuwa mshauri wa Mbowe au ndio njaa inakusumbua huko Boston. Wee endelea kuosha vibibi na vibabu vizee huko ughaibuni mambo ya huku tuachie wenyewe wapiga kura. Wewe hata Kura yenyewe hujui inapigwaje
 
Kura zikishantangazwa na tume hizo ni halali kutumia kama data sahii,kwahiyo vyama vinaweza kutoa nakala nimeona cuf zao zipo mtandaoni.
 
Vipi Tena mkuu si ulitoa analysis yako Magufuli atashinda ??? Wasiwasi wako Wa nini Tena ??
Japo umetoa ushauri mzuri
 
Ni ushauri mzuri kama utapokelewa na watu wenye akili ili kuepusha minyukano itakayotokea hapo mbele.Chagonja anasema polisi imejipanga ila anasahau kwamba hata UMMA umejipanga zaidi ya polisi.
 
Neno la Hekima: Kama kweli Mbowe na Team Lowassa wanaamini kuwa matokeo ya Urais yamehujumiwa wanahitaji kwa haraka kufanya hivi: Kwa matokeo ya majimbo 113 ambayo yametangazwa hadi hivi sasa watoe nakala za mawakala wao kwenye majimbo hayo ili wananchi waweze kulinganisha kama yanaendana na yale ya Tume hasa kwa vile Jaji Lubuva Tumatatu alisema kuwa wao wanatangaza matokeo yale yale yaliyosainiwa majimboni.


Wakifanya hivi wataweza kuonesha kama Tume inaweza kuaminiwa kuendelea kutangaza matokeo au la. Ushauri huu pia unaweza kuwafaa CCM nao wafanye hivyo hivyo ili tuone hili. Lakini pia natoa ushauri kama huu kwa TUme ya Taifa ya Uchaguzi Kuagiza Wasimamizi wa Uchaguzi kwenye Majimbo yote ambayo tayari yametangazwa rasmi na yale yatakayotangazwa rasmi kuweka hadharani nakala zao za majimbo na hivyo tutaweza kulinganisha matokeo ya vyama, wasimamizi wa uchaguzi na tume ili tuepushe mambo ya kuitana Ikulu tena kwa mazungumzo zaidi.

Ili vyama visijisikie kuwa kwenye mtego, Tume iruhusu vyama hivyo kuweka hadharani nakala za matokeo yao kwa majimbo yale ambayo yameshatangazwa na mengine baada ya kutangazwa ili kukata mzizi wa fitina.


Hii ndio njia pekee ya kufanya watu waamini matokeo yanayoendelea au la. M. M. Mwanakijiji
....utakuwa ni utani. Kwanini upinzani walikubali kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kugombea? Kuna umuhimu wa kuheshimu vyombo halali vilivyoundwa kwa mujibu wa katiba
 
Mwanakijiji umesema vizuri sana sana na hayo ndiyo tuliyoshauri wananchi siku zote. Vyama vya siasa vipate nakala za matokeo Kama yalivyosainiwa na mawakala wao kwa Majimbo yote nchi nzima. Lakini pia tume ingeruhusu tu kila jimbo kutangaza matokeo ya urais pia na kusainiwa na wakala wa jimbo baada ya kulinganisha na yale ya vituoni. Hapo Amani ingetawala na tungesema huru na haki. Vinginevyo tutasikia tu lawama hizi. Lkn niwaombe Watu wa UKAWA kuwa na subira Kama haki Yao ipo Mungu atasimamia.
 
Neno la Hekima: Kama kweli Mbowe na Team Lowassa wanaamini kuwa matokeo ya Urais yamehujumiwa wanahitaji kwa haraka kufanya hivi: Kwa matokeo ya majimbo 113 ambayo yametangazwa hadi hivi sasa watoe nakala za mawakala wao kwenye majimbo hayo ili wananchi waweze kulinganisha kama yanaendana na yale ya Tume hasa kwa vile Jaji Lubuva Tumatatu alisema kuwa wao wanatangaza matokeo yale yale yaliyosainiwa majimboni.


Wakifanya hivi wataweza kuonesha kama Tume inaweza kuaminiwa kuendelea kutangaza matokeo au la. Ushauri huu pia unaweza kuwafaa CCM nao wafanye hivyo hivyo ili tuone hili. Lakini pia natoa ushauri kama huu kwa TUme ya Taifa ya Uchaguzi Kuagiza Wasimamizi wa Uchaguzi kwenye Majimbo yote ambayo tayari yametangazwa rasmi na yale yatakayotangazwa rasmi kuweka hadharani nakala zao za majimbo na hivyo tutaweza kulinganisha matokeo ya vyama, wasimamizi wa uchaguzi na tume ili tuepushe mambo ya kuitana Ikulu tena kwa mazungumzo zaidi.

Ili vyama visijisikie kuwa kwenye mtego, Tume iruhusu vyama hivyo kuweka hadharani nakala za matokeo yao kwa majimbo yale ambayo yameshatangazwa na mengine baada ya kutangazwa ili kukata mzizi wa fitina.


Hii ndio njia pekee ya kufanya watu waamini matokeo yanayoendelea au la. M. M. Mwanakijiji

Huna credibility ya kuushauri chochote upande wa UKAWA, bali unachopaswa kufanya ni kuishauri NEC na ZEC na CCM namna ya kuongeza mikakati ya kuhakikisha malengo yanatimia.

Wewe unakula burger za Macdonald saa hizi shida zetu Tanzania tuachie wenyewe, hakuna duka wala hospital ya ccm peke yao tutaendelea kuteseka wote na mateso tumeyazowea. kaa mbali na UKAWA.
 
Japo nimekuwa nakuona ukipotea siku za karibuni...

Leo umeweka mezani jambo zuri lenye kukata mzizi wa fitna...
 
....utakuwa ni utani. Kwanini upinzani walikubali kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kugombea? Kuna umuhimu wa kuheshimu vyombo halali vilivyoundwa kwa mujibu wa katiba
Walizoe kuzungusha mikono na kutengeneza Guinea wakifikiri ndio kampeni, wakati Magufuli anaenda kijiji kwa kijiji kwa gari, wao wanapaa hewani kama vile Watanzania wanaishi hewani.
 
Back
Top Bottom