Kuepusha Shari: Ushauri wa Bure kwa Mbowe, Tume ya Taifa na CCM Kuhusiana na Kuaminiwa kwa Matokeo

Tume hata iwe huru vipi, waafrika bado tuta undermine kazi zake. Watu wanaoshindwa hawapendi kukubali hata siku moja. Hata ukiweka electronic voting, bado watu watalalamikia system yenyewe. Kimsingi, inabidi tuwe tunapiga kura za wazi za kupanga foleni nyuma ya mgombea; pengine wale wanaoshindwa watakubali.

Matokeo yako majimboni na kwenye vituo. Watu wana scan form za tume halafu wana insert namba ili waonekane madai yao yako credible. Forensics can show that hizo karatasi wanazokuja nazo ni za kujitengenezea. Ila sasa tukianza kushughulika na mambo hayo, process nzima inaweza kuchukua miaka kukamilika.

Nahisi waafrica we are evil in nature. hatutaki kukubali ukweli!
hata wasira naye anasema mchakato haukua wa haki sasa cha kujiuliza tume hii hii ilikutangaza ww mshindi miaka miaka mitano iliyopita ukaenda bungeni ukapiga hela lakini leo ikitangaza umeshindwa haiko huru. hopeless. mbowe katangazwa mshindi hai na tume hiyo hiyo anyaoilaumu kwa matokeo ya uraisi
 
Hii imechelewa Zanzibar (ZEC) kupitia maelekezo ya Lumumba wamekwisha chukua shot cut!.
Huku Lubuva na NEC wameamua kuziba masikio wanaendelea na matokeo bila wasi wasi!

Yale yale ya machakato wa KATIBA MPYA na uchakachuaji wake yanaendelea bila Wanasiasa wa Lumumba kujali hatima ya Jamii pamoja na historia iliyowazunguka !
 
ushahidi waudanganyifu tume wanao mikononi mwao, tume huko bumbuli imetangaza waliopiga kura ni about 21000, lakini tume taifani ikaambiwa waliopiga kura ni about 44,000. sasa unataka ushahidi gani tofauti na ulionao mikononi mwako tena kwa wasaidizi unaowaamini?
Angalia hii
Jimbo la Bumbuli ndilo litakuwa mfano wa wizi wa kura. Kwani matokeo ya kura za urais kura halali ni karibu 40,000 na Magufuli anatajwa kupata 35,310 huku Lowasa akitajwa kupata 7,928! lakini katika matokeo ya ubunge kwenye jimbo hilohilo jumla ya kura halali ni 20,522 na mshindi ambaye ni january makamba amepata kura 17,805 ambapo aliyemfuatia ana kura 2403.
Maana yake kuna watu zaidi ya 20,000 walipiga kura za urais lkn hawakupewa karatasi za kura za ubunge!
 
Mtazunguka tu hapa lakini ccm haitakuwa tayari kutoka madarakani kwa njia ya kura
 
Back
Top Bottom