Nmekusoma mkuu, uko sawa kabisa.!BIASHARA ya salon.....
Mambo ya msingi ya kuzingatia
Kama upo uswahilini....usiirembe Sana salon yako...wabongo wakiona umeremba Sanaa wanakimbia kwa kujua bei ni kubwa.
Shusha bei,kama wenzio wananyoa buku jero,wewe nyoa buku,
Wahi kufungua...... Chelewa kufunga.
Customer care nu muhimu....
Kinyozi akimyoa MTU asimuondoe haraka haraka,labda kuwe na vichwa nje....mteja akimaa mda mtefu akinyolewa ndio anaamini kuwa jamaa amenyoa vizuri...Ila faster faster anahisi amelipuliwa
Kinyozi awe na uongo Fulani wenye faida, mfano kuna Saloni moja hivii,kila MTU akimyoa utamkuta anasema" hivi nywele zako kwa jinsi zilivyo angekuwa kinyozi wasiwasi...lazima akunyoe vibaya....maana kinasehemu zimekaa vibaya ...inamaana anamuaminisha kuwa yeye ndio Bora ,hivyo asiende kwingine.....kumbe anamjazaa tuu.
Piaa kinyozi awe mpiga Stori Sanaa na watejaa,mteja akija anapiga stor Sana za siasa na zinginee,basi jamaa anajikuta kesho analud hapo hapoo.
Piaa kinyozi MTU akija kunyoa basi amnyoe na ndevu kwa pesa yake ile ile.
Huu ndio ushauri wangu.....japo napata kvant hapa,Sasa siajua NI ushaur wangu au NI akiri za kvant.
Location, convicing powerwasalaamu wadau,, nimekuwa kila nikianzisha biashara sitoboi kabisa,..kwa mfano nilikuwa namiliki saloon yangu ya kiume lakini cha ajabu sipati wateja,..yaani unaweza kukaa kutwa nzima ukaambulia vichwa viwili tu,,,siku nikipata wengi ni watatu mwisho,.. vivyo hivyo hata biashara zingine nilizowahi kuanzisha kama vile kuuza nguo na mahindi,...je mimi nakosea wapi wadau? au wengine huwa munafanyeje? karibuni kwa ushauri maana hapa nahisi kushindwa,. sijui bora kuajiliwa tu,..daah
Nakazia hapaMchawi ni location akisindikizwa na rafki yake ajulikanaye kama ubora wa huduma unazotoa , narudia tena mchawi ni location.....ukikosea location wafaaaaaaaaaaa no mercy and no compromise....!!! Yaan hyo factor inastand alone haihtaji mbwembwe za kusali ama kuroga ......