Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Hili ni suala nimekuwa najiuliza sana huko Tanzania. Tunaelewa kuwa Mwaka huu mwezi Oct kuna chaguzi za Serikali za mitaa yaani kuchagua wenyeviti wa Serikali za mitaa na wajumbe wao.
naona kuwa mpaka sasa hakuna msisimko wowote wa maandalizi kwa vyama vya siasa na hata Serikali kijumla kama maandalizi ya chini chini aliyoanza kwa uchaguzi mkuu mwakani october.
Ukisoma Katiba ya Tanzania , Ibara ya 146 (1) inazungumzia madhumuni ya kuepo ka serikali za Mitaa ni kupeleka madaraka kwa wananchi.
katiba inazungumzia vizuri sana umuhimu wa kuimarisha demokrasia hususan katika ngazi za mitaa na kuelekea kwenye serikali kuu.
nauliza kwanini chaguzi zake hazina mashamsham?
Nitapembua kutoka kwenye katiba ya tanzania umuhimu na uhalali wa Serikali za mitaa ukilinganisha na serikali kuu.
Nasriyah Saleh Al-Nahdi.
naona kuwa mpaka sasa hakuna msisimko wowote wa maandalizi kwa vyama vya siasa na hata Serikali kijumla kama maandalizi ya chini chini aliyoanza kwa uchaguzi mkuu mwakani october.
Ukisoma Katiba ya Tanzania , Ibara ya 146 (1) inazungumzia madhumuni ya kuepo ka serikali za Mitaa ni kupeleka madaraka kwa wananchi.
katiba inazungumzia vizuri sana umuhimu wa kuimarisha demokrasia hususan katika ngazi za mitaa na kuelekea kwenye serikali kuu.
nauliza kwanini chaguzi zake hazina mashamsham?
Nitapembua kutoka kwenye katiba ya tanzania umuhimu na uhalali wa Serikali za mitaa ukilinganisha na serikali kuu.
Nasriyah Saleh Al-Nahdi.