Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Chama cha ACT-Wazalendo chapokea 21 waliokuwa Wabunge wa CUF

Many of them are muslim, I like zitto strategy. Kama kazi ameifanya namtabiria makubwa sana huko mbele.Chadema wamelala sana nadhani wameridhika na wamekata tamaa. Wanaonekana kwa macho na kwa matendo. Ile amsha amsha imepotea,Wana mapungufu makubwa kwenye mfumo wa branding na online promo, wanategemea mtu mmoja mmoja,Mnyika ni mzito mitandaoni na nje ya mitandao hana hamsha hamsha yeyote katibu wa makaratasi. Wanapaswa kuamka, safari bado sana ni mapema kugive up mpaka wawashawishi asilimia hata 70 ya watanzania.

CCM wameweza, wamebebwa na kiongozi wao otherwise ni chaaaliii.
 
Juzi tu Zitto alikuwa analilia lockdown kupunguza misongamano ili kujikinga na Corona, leo hii awekusanya watu kiasi hicho. Kweli mwanasiasa si wa kumsikiliza

Atakuwa amewaamini waliomhakikishia Corona kwishney.
 
Tatizo ni wale "wenzao" wanajiona wapo vizuri ilihali wapo na hali mbaya. Niliwahi shauri humu hawa waungane na wale wenzao kwa maana hawa wapo vizuri zenji wale wenzao wapo vizuri bara sasa muungano wao utakuwa na matokeo chanya kwenye siasa za upinzani Tanzania.
Tatizo ubinafsi. Nani aachie madaraka? Nani ale pesa za ruzuku?
 
Ninachoweza kusema kwa sasa ni kumpongeza Zitto Zuberi Kabwe kwa kuweza kukijenga Chama chake ndani ya muda mfupi (<5). Zitto ameanya kazi iliyomshinda James Mbatia kwa miaka 20 (2000--2020) tangu amekuwa mwenyekiti wa chama chake cha NCCR-Mageuzi.
 
Salaam Wakuu,

Leo Muda si Mrefu, Viongozi Wakuu wa Chama cha ACT Wazalendo kitaongea na Wananchi na Dunia kwa Ujumla. Ni tukio kubwa haijawahi kutokea.
======

UPDATES:

1048HRS: Kwa sasa ni Burudani inaendelea

1100HRS: Viongozi Wakuu wa ACT Wazalendo wanaingia Ukumbini wakiongonzwa na

Zitto zuberi Kabwe- KIONGOZI WA CHAMA

Maalim Ssif Sharif Hamad- MWENYEKITI WA CHAMA.

ADO SHAIBU- KATIBU MKUU

JUMA DUNI HAJI-MAKAMU MWENYEKITI ZANZIBAR

DOROTHY SEMU- MAKAMU MWENYEKITI BARA

NASSOR AHMED MAZRUI-NAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR

JORAN LWEHABURA BASHANGE - NAIBU KATIBU MKUU BARA
1200hrs: Wabunge Waliohama CUF Wakabidhiwa kadi za ACT Wazalendo.
1215hrs: Webiro Wasira aka Wakazi, aka Beberu anapewa nafasi ya kusalimia. Anasema amekuwa aki0enda Sera, Misimamo ya Viongozi wa ACT Wazalendo. Uongozi bora ni Maarifa. Nashukuru ACT kwa kunialika kwenye Chama. Jimbo la Ukonga tulikabidhiwa kadi 126. Natangaza kutia nia Jimbo la Ukonga.
View attachment 1484037

1120hrs: Katibu Mkuu Ado Shaibu, anasimama kuelezea sababu ya WanaACT Kukutana hapa.

Ado: Hiki kinachotokea leo hakijawahi kutokea. Hii ya leo ni Kubwa kuliko. Leo tunapokea Ugeni mkubwa sana. Bunge limeshafika kamati. Leo chama chetu kitawapokea rasimi Waliokuwa Wabunge wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania 21. Ilishawahi kutokea hiyo?

Mbali na Wabunge, tutapokea Madiwani kutoka Dar. Tumeshapokea Madiwani Tanga. Walipokelewa na Maalim Seif. Leo tutawapa heshima Madiwani 9 kutoka chama cha wananchi CUF watakao jiunga nasisi.

View attachment 1484060



Lakini pia wapo Wanasiasa Mashauri watapata kadi leo. Hilo ndio limetukutanisha hapa.

Baada ya hapo, Viongozi wetu watapata nafasi ya kuhutubia Taifa.

View attachment 1484033
View attachment 1484010View attachment 1484012View attachment 1484013

Viongozi wote, wabunge na madiwani ni WAISLAMU, imetokea tu ama mmepanga, je mmewaza picha inayojengeka?
 
Salaam Wakuu,

Leo Muda si Mrefu, Viongozi Wakuu wa Chama cha ACT Wazalendo kitaongea na Wananchi na Dunia kwa Ujumla. Ni tukio kubwa haijawahi kutokea.
======

UPDATES:

1048HRS: Kwa sasa ni Burudani inaendelea

1100HRS: Viongozi Wakuu wa ACT Wazalendo wanaingia Ukumbini wakiongonzwa na

Zitto zuberi Kabwe- KIONGOZI WA CHAMA

Maalim Ssif Sharif Hamad- MWENYEKITI WA CHAMA.

ADO SHAIBU- KATIBU MKUU

JUMA DUNI HAJI-MAKAMU MWENYEKITI ZANZIBAR

DOROTHY SEMU- MAKAMU MWENYEKITI BARA

NASSOR AHMED MAZRUI-NAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR

JORAN LWEHABURA BASHANGE - NAIBU KATIBU MKUU BARA
1200hrs: Wabunge Waliohama CUF Wakabidhiwa kadi za ACT Wazalendo.

1215hrs: Webiro Wasira aka Wakazi, aka Beberu anapewa nafasi ya kusalimia. Anasema amekuwa aki0enda Sera, Misimamo ya Viongozi wa ACT Wazalendo. Uongozi bora ni Maarifa. Nashukuru ACT kwa kunialika kwenye Chama. Jimbo la Ukonga tulikabidhiwa kadi 126. Natangaza kutia nia Jimbo la Ukonga.

View attachment 1484037

1120hrs: Katibu Mkuu Ado Shaibu, anasimama kuelezea sababu ya WanaACT Kukutana hapa.

Ado: Hiki kinachotokea leo hakijawahi kutokea. Hii ya leo ni Kubwa kuliko. Leo tunapokea Ugeni mkubwa sana. Bunge limeshafika kamati. Leo chama chetu kitawapokea rasimi Waliokuwa Wabunge wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania 21. Ilishawahi kutokea hiyo?

Mbali na Wabunge, tutapokea Madiwani kutoka Dar. Tumeshapokea Madiwani Tanga. Walipokelewa na Maalim Seif. Leo tutawapa heshima Madiwani 9 kutoka chama cha wananchi CUF watakao jiunga nasisi.
Orodha ya Majina ya Wabunge na Madiwani waliojiunga ACT Wazalendo ni;

ORODHA YA WABUNGE, MADIWANI NA BAADHI YA WANACHAMA WASHUHURI WA CUF WANAOKABIDHIWA KADI ZA UANACHAMA WA ACT WAZALENDO LEO TAREHE 20, JUNI, 2020

1. Ndugu Suleiman S Bungara – Kilwa Kusini
2. Ndugu Juma Kombo Hamad – Jimbo la Wingwi
3. Ndugu Masoud Abdallah Salim – Jimbo la Mtambile
4. Ndugu Ally Saleh Ally Albator – Jimbo la Malindi
5. Ndugu Ali Salim Khamis - Jimbo la Mwanakwerekwe
6. Ndugu Hamad Salim Maalim – Jimbo la Kojani
7. Ndugu Khalifa Mohamed Issa – Jimbo la Mtambwe
8. Ndugu Mohamed Juma Khatib – Jimbo la Chonga
9. Ndugu Twahir Awesu Mohamed – Jimbo la Mkoani
10. Ndugu Khatib Said Haji – Jimbo la Konde
11. Ndugu Haji Khatib Kai – Jimbo la Micheweni
12. Ndugu Othman Omar Haji – Jimbo la Gando
13. Ndugu Dr. Suleiman Ali Yussuf - Jimbo la Mgogoni
14. Ndugu Mbarouk Salim Ali – Jimbo la Wete
15. Ndugu Nassor Suleiman Omar – Jimbo la Ziwani
16. Ndugu Yussuf Salim Hussein – Jimbo la Chambani
17. Abdallah Haji Ali – Jimbo la Kiwani
18. Ndugu Yussuf Haji Khamis – Jimbo la Nungwi
19. Ndugu Mohamed Amour Mohamed Jimbo la Bumbwini
20. Ndugu Mgeni Jadi Kadika – Mbunge Viti Maalum

MADIWANI WA DAR ES SALAAM
1. Ndugu Ramadhan Kwangaya – Manzese
2. Ndugu Jumanne Amir Mbunju – Tandale
3. Ndugu Ali Haroub Mohamed – Makumbusho
4. Ndugu Omar Thabiti (Kijiko) – Makurumla
5. Ndugu Jumanne Kassim Kambangwa – Mbagala
6. Ndugu Abdul Ali Matogoro – Azimio
7. Ndugu Abdalah Omar Kipende – Mianzini
8. Ndugu Haijat Safina Mgumba – Viti Maalum, Ilala
9. Ndugu Leila Hussein Madibi – Viti Maalum, Ubungo


View attachment 1484060



Lakini pia wapo Wanasiasa Mashauri watapata kadi leo. Hilo ndio limetukutanisha hapa.

Baada ya hapo, Viongozi wetu watapata nafasi ya kuhutubia Taifa.

View attachment 1484033
View attachment 1484010View attachment 1484012View attachment 1484013

Mungu ibariki ACT WAZALENDO
 
Kweli aisee....Hawa ni Wazenj wamemfuata kingunge wao Maalim. Hakuna jipya hapa !!!

Na Zitto asipokuwa makini ACT Wazalendo nayo itakuwa na sura ya udini tu kama ilivyokuwa CUF

Kwann tunaanza kuwapa kofia ya udini, mbona Chadema haisemwi kwa wakristo walivyotamalaki mule!??
Hebu angalia safu ya uongozi ya Chadema afu tazama ktk jicho lako la udini kisha urudi na comments yako!!
Au nchi hii waislamu ni kosa kuonekana ktk mambo ya siasa!????

Acha mawazo ya kipuuzi na kushindwa kung'amua mambo kwa weledi
 
Ninachoweza kusema kwa sasa ni kumpongeza Zitto Zuberi Kabwe kwa kuweza kukijenga Chama chake ndani ya muda mfupi (QUOTE]Mbatia kaamua kujifunika kwenye makwapa ya ccm akiwa ameaminishwa kupewa wabunge 20 mjinga sana nadhani hawajui vzr ccm
 
Juzi tu Zitto alikuwa analilia lockdown kupunguza misongamano ili kujikinga na Corona, leo hii awekusanya watu kiasi hicho. Kweli mwanasiasa si wa kumsikiliza
Ndio wanasiasa wetu walivyo
 
Back
Top Bottom