bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Many of them are muslim, I like zitto strategy. Kama kazi ameifanya namtabiria makubwa sana huko mbele.Chadema wamelala sana nadhani wameridhika na wamekata tamaa. Wanaonekana kwa macho na kwa matendo. Ile amsha amsha imepotea,Wana mapungufu makubwa kwenye mfumo wa branding na online promo, wanategemea mtu mmoja mmoja,Mnyika ni mzito mitandaoni na nje ya mitandao hana hamsha hamsha yeyote katibu wa makaratasi. Wanapaswa kuamka, safari bado sana ni mapema kugive up mpaka wawashawishi asilimia hata 70 ya watanzania.
CCM wameweza, wamebebwa na kiongozi wao otherwise ni chaaaliii.
CCM wameweza, wamebebwa na kiongozi wao otherwise ni chaaaliii.