They can't afford it.Wafungie tu line za simu ili TRA mapato yashuke kisawasawa, mzunguko wa hela ndani ya nchi upungue kwa zaidi ya 50%, na thamani ya Tsh ishuke kisawasawa mpaka akili ziwakae sawa.
kufungia line za simu ni kufungia miamala ya pesa nchini, miamala ya hela kwa njia ya simu ni zaidi ya mzunguko wa 50% wa mizunguko yote ya hela nchini, kuliko hata miamala ya bank, na ndio maana bank zote zimeingia kwenye "MOBILE BANKING" kwasababu wanajua mzunguko wa hela umeshikiliwa na mobile banking sasa hivi.
That is to say "MZUNGUKO WA HELA UTAFIFIA NA KUYUMBISHA UCHUMI WA NCHI YETU", mzunguko wa Tsh ukipungua ina maana thamani ya hela ya Tsh itashuka.
Viongozi wetu wanatakiwa warudi darasani na wasome "PRINCIPLES ZA E-COMMERCE" (Biashara za kimtandao).
#Viongozi wetu wajitafakari kisawasawa fikra zao kwenye kufanya maamuzi ya kitaifa, wasifanye maamuzi kuangalia matakwa yao tu. Kwenye maswala ya kitaifa tuweke vyama pembeni.
Naona ushashiba mihogo maneno yanakutoka tu..Kuwatishwa NIDA mzigo kwa zoezi la zimamoto ni kuwaonea
Waziri Nditiye Amesema hivyo baada ya kuona hali halisi huko Kigoma
Hapa ndo uwa najilaumu kwa nn nilichukua kadi ya chama cha mapinduzi!
MLIPOAMBIWA MABADILIKO YA KWELI ANAYO JPM,PIA MLIBISHA.Utawala huu wa Magufuli ni rahisi sana kutabiri kitu na kikatokea.
Nilitabiri Babu Seya atatoka ile December 9 2017 ikawa, nilitabiri 2019/2020 watumishi wa umma hawataongezewa hata senti ikawa. Leo narudia tena kutabiri utabiri huu mgumu kuwa line za simu zisizosajiliwa kwa namba ya NIDA kesho tarehe 20 kuelekea tar 21 hazitafungwa.
Kama unabisha tuwekeane dau
Utawala huu wa Magufuli ni rahisi sana kutabiri kitu na kikatokea.
Nilitabiri Babu Seya atatoka ile December 9 2017 ikawa, nilitabiri 2019/2020 watumishi wa umma hawataongezewa hata senti ikawa. Leo narudia tena kutabiri utabiri huu mgumu kuwa line za simu zisizosajiliwa kwa namba ya NIDA kesho tarehe 20 kuelekea tar 21 hazitafungwa.
Kama unabisha tuwekeane dau
Sasa hivi kuna viongozi 4 wako hoiHazitafungiwa ila kuna kigogo atang'olewa kutokana na kushindwa kutetea takwa la kiongozi
Sisi tupo huku vijijini na tumesajili line zetu kwa namba za NIDA. Poleni sana wazee wa ' HIYO PESA TUMA KWENYE NAMBA HII' Tafuteni kazi zingine za kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
MLIPOAMBIWA MABADILIKO YA KWELI ANAYO JPM,PIA MLIBISHA.
MLIPOAMBIWA JPM HANA URAFIKI,MLIBISHA. - Angalia ya Bashite
MLIPOAMBIWA JPM ATA- DEAL NA MAFISADI HADI KIELEWEKE MLIBISHA. Angalia Chenge na Lowasa
MLIPOAMBIWA JPM ATAIRUDISHA TANZANIA KWENYE RIGHT TRACK PIA MLIBISHA. Angalia alivyofanya zao la korosho
HAYA WEWE ENDELEA KUPIGA RAMLI