Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,456
- 2,437
Akiona huu uzi wako atafungia line ili avuruge utabiri wako.
Wakifunga leo hapo inamaana tar 19 ndio mwisho wa matumizi wa hizo linesHuu usiku sa tano na dakika 99{23:59} ndio mwisho wa hizo lain wanafunga
Kuna mbinu wamebuni wanaongea na mawakala wanaosajili line unaweza ukaweka ya kwanza alama za kidole kwenye mashine ya fomoco ikaenda msg kwenue line ya wakala pembeniTutatafuta namana ya kuwaibia nyie wakoromije hata kama mkisajili line kwa kutumia vikojoleo
Akiuona huu Uzi atasikitika sana kisha atamtumbua mtuAkiona huu uzi wako atafungia line ili avuruge utabiri wako.
Kwa hii kauli ya waziri nimeuamini utabiri wakoUtawala huu wa Magufuli ni rahisi sana kutabiri kitu na kikatokea.
Nilitabiri Babu Seya atatoka ile December 9 2017 ikawa, nilitabiri 2019/2020 watumishi wa umma hawataongezewa hata senti ikawa. Leo narudia tena kutabiri utabiri huu mgumu kuwa line za simu zisizosajiliwa kwa namba ya NIDA kesho tarehe 20 kuelekea tar 21 hazitafungwa.
Kama unabisha tuwekeane dau
Kadri siku zinavyokwenda ndivyo ccm inavyojichimbia shimo la kujiangamiza. Baada ya kuziba mianya ya vyama vya upinzani kujitokeza kwa wananchi kupitia mikutano ya hadhara na upinzani kutumia njia mbadala ya mitandao ya kijamii na sms kujiimarisha ccm imekuja na mbinu ya kuzima laini za simu kwa kisingizio cha kitambulisho cha taifa. Kama kungekuwa na nia nzuri serikali ya ccm ingewekeza nguvu nyingi katika suala zima la vitambulisho, maana haiwezekani miaka zaidi ya 50 wananchi hawajulikani uraia wao kama samaki. Kitendo cha kuwazimia watu laini za mawasiliano kwa kosa ambalo sio lao nikujenga chuki kati ya wananchi na serikali yao.Kwanza maisha ni magumu, halafu wewe unaongeza ugumu kwa kufunga laini za simu.
Wapiga kura wako, wengi wapo vijijini na hawajawahi kupata namba za NIDA. Octoba wanaenda kukuchinjia baharini (au una plan B ya kushinda?)
Unaenda kuvunja mahusiano ya watu, kuzuia miamala yote ya fedha na kujenga chuki kati yako na wananchi.
Ulitakiwa kuwawajibisha viongozi wa NIDA wala si wananchi. Nyota yako inazidi kufifia. Kwanini kila unachogusa kinafeli?
Je, mbona mnakomalia namba, tutaishia kupata namba tu bila vitambulisho?
Tarehe 20 ni usiku huu, lets wait and see if mzee wa font fed atafanya yake.
Siku ukiibiwa hiyo simu au ukiRESTORE ndiyo utajua umuhimu wa laini.Hv line ikizimwa WhatsApp si itaendelea kufanya kazi through WiFi?
Waziri Nditiye Amesema hivyo baada ya kuona hali halisi huko Kigoma
Watu wamesahau hata kwenda kwenye miahadi yao na waremboHaka ka muvi ka vidole haka katavua watu nguo!
Muda mwingine Wabongo hatupo makini kabisa tunawalaumu NIDA bure, hili zoezi toka limetangazwa watu walikuwa hawana muda nalo kabisa ukifika ofisi za NIDA unakuta watumishi wa NIDA wanapiga tu stori hakuna kazi ila deadline inapokaribia kila mtu yupo bize kuhangaikia na NIDA na malalamiko juu.
Mchakato wa kupata kitambulisho cha taifa umeanza zaidi ya miaka minne nyuma, Mlikuwa wapi siku zote.
Hapa nasubiri wakati wa tamko tuKwa hii kauli nimeuamini utabiri wako
Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi
Binafsi nilijiandikisha tena mara mbili lakini nimefuatilia namba zangu NIDA kama naomba mkopo benki. Hakuna nilichoambulia. Uzembe wa NIDA usumbufu nabebeshwa mimi. Matokeo yake naambiwa nijiandikishe upya, yaani nianze taratibu za kwenda kwa Mtendaji, Uhamiaji halafu NIDA. --- Mambo ya...www.jamiiforums.com
Nadhani hapa mzee wa chato lazima aipige live baada ya taarifa ya habari na akitoka hapo ni mahaba kwa mama jesca mpaka kunakuchaHapa nasubiri wakati wa tamko tu
Wa Tanzania n waoga kwelikweliNIDA kumekuwa na folen ya kufa mtu sio kwa kuwa watu wanataka vitambulisho vya Taifa bali kwa kuwa wanapigania namba zao za simu zisizimwe
Yaan watu hawana mpango na vitambulisho sema tu inabidi wawe nacho kukamilisha usajili
I.e line ya simu ni muhimu kuliko kitambulisho
ikitangazwa kuwa usajili wa line sio muhimu kitambulisho cha NIDA basi folen inaisha fasta
Wa Tanzania n waoga sana, eti hapa wanaogopa tuline, mnapimwa yoga kampen zinakaribiaBinafsi nilijiandikisha tena mara mbili lakini nimefuatilia namba zangu NIDA kama naomba mkopo benki. Hakuna nilichoambulia. Uzembe wa NIDA usumbufu nabebeshwa mimi.
Matokeo yake naambiwa nijiandikishe upya, yaani nianze taratibu za kwenda kwa Mtendaji, Uhamiaji halafu NIDA.
Acha wafungie nimejiandaa kisaikolojia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nchi hii iliyojaaliwa wapumbavu wengi watamshukuru JiweNadhani hapa mzee wa chato lazima aipige live baada ya taarifa ya habari
Tena kuna watakaofanya maandamano ya kumpongeza huyu jiwe wetuIla nchi hii iliyojaaliwa wapumbavu wengi watamshukuru Jiwe