Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
kwa wanaoangalia TBC
Kuna mwalimu mmoja dk,wa moja ya chuo amekiri wanafunzi wengi wamekuwa wakides a ili kufaulu mitihani yao..hali ya kudesa ipo kila chuo watakachofanya ni kupunguza rate..mwalimu huyo mwenye miwani na macho ya kupendeza amekiri kudesa ni tatizo sugu...unakuta mtu anaingia na calculator mwisho kajaza full nondo ama ile ile kaichora maandishi madogo..wengine wamekuwa wakiweka mpka kwenye mapaja yao na kufunika na nguo!!!!sasa hata ukiona kumfwata uwezi mlazimisha akuvulie na akiamua kuondoka na kutoa malalamiko kama ujakamata ile karatasi unaumia....
Mmmmmmh Mmambo ya kudesa!!!
Kuna mwalimu mmoja dk,wa moja ya chuo amekiri wanafunzi wengi wamekuwa wakides a ili kufaulu mitihani yao..hali ya kudesa ipo kila chuo watakachofanya ni kupunguza rate..mwalimu huyo mwenye miwani na macho ya kupendeza amekiri kudesa ni tatizo sugu...unakuta mtu anaingia na calculator mwisho kajaza full nondo ama ile ile kaichora maandishi madogo..wengine wamekuwa wakiweka mpka kwenye mapaja yao na kufunika na nguo!!!!sasa hata ukiona kumfwata uwezi mlazimisha akuvulie na akiamua kuondoka na kutoa malalamiko kama ujakamata ile karatasi unaumia....
Mmmmmmh Mmambo ya kudesa!!!