Niliwahi chukua mkopo bank moja nitaitaja baadaye,
tukakubaliana wakate makato tare 30 ya kila mwezi kasoro february,
cha kushangaza banki hiyo imebadili tarehe ya kukata na kuweka tarehe 23. Na 24 ya kila mwezi,
sasa mshahara ukichelewa tuu kuingia wanakata kilichopo hata kama umeweka kwa matumizi ya familia na unajikuta unadhalilishwa pasipo sababu.
1. Nilishawahi tumiwa pesa na boss wangu toka nje nimpe mke wake hospitali, nimetoka na mwanae mpaka bank nakuta pesa imekatwa.
2. Nilikabidhiwa pesa ninunue baiskeli ya mlemavu siku nikaweka bank ili nisiitumie siku ametoka hospitali nimeenda naye bank nakuta hakuna kitu, nilipojaribu kumwelezea aliangua kilio na nikafedheheka sana.
Nimewaeleza wahusika naona napigwa danadana
naomba msaada wa kisheria nifanyeje?
tukakubaliana wakate makato tare 30 ya kila mwezi kasoro february,
cha kushangaza banki hiyo imebadili tarehe ya kukata na kuweka tarehe 23. Na 24 ya kila mwezi,
sasa mshahara ukichelewa tuu kuingia wanakata kilichopo hata kama umeweka kwa matumizi ya familia na unajikuta unadhalilishwa pasipo sababu.
1. Nilishawahi tumiwa pesa na boss wangu toka nje nimpe mke wake hospitali, nimetoka na mwanae mpaka bank nakuta pesa imekatwa.
2. Nilikabidhiwa pesa ninunue baiskeli ya mlemavu siku nikaweka bank ili nisiitumie siku ametoka hospitali nimeenda naye bank nakuta hakuna kitu, nilipojaribu kumwelezea aliangua kilio na nikafedheheka sana.
Nimewaeleza wahusika naona napigwa danadana
naomba msaada wa kisheria nifanyeje?