Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
waswahili walisema, kula nanasi kwahitaji nafasi... sasa wenzangu namimi chumba kimoja, kitanda, kabati, stoool, meza na kila kilicho chetu humo humo... hilo kombolela utalichezaje? ukirusha mpira akishindwa daka mara puuu kabati la vyombo, glass mbili meng'emeng'e.
Chezeni hata karata (last card), haihitaji that much big space.