Kucheza kimapenzi

waswahili walisema, kula nanasi kwahitaji nafasi... sasa wenzangu namimi chumba kimoja, kitanda, kabati, stoool, meza na kila kilicho chetu humo humo... hilo kombolela utalichezaje? ukirusha mpira akishindwa daka mara puuu kabati la vyombo, glass mbili meng'emeng'e.

Chezeni hata karata (last card), haihitaji that much big space.
 
Duh..kutafutiana lawama wengine hawajakaa kispoti ki ivyo! halafu tena hilo sharti la mkuytomegana itakluwaje wakati kimchezo hata uwe ni wa nini mnajengana kisaikoloji and conditions permiotting kumegana should be the ultimate goal....au vipi wajameni
 
Sipati picha nyumba zetu hizi za Uswazi hata hazina ceiling board sijui mtacheza mchezo gani nyie wawili pasipo majirani kushare na nyie japo kwa kusikiliza au hata kuchungulia. Lakini pia watoto tunaokuwa nao kwa wale wenye watoto wakisikia kukurukakara wanaanza kuogopa wakijua Baba na Mama wanazipiga ngumi humo chumbani kama kweli kuna chuma isije kuwa ndio chumba na sebule. Basically this is for specific person and places
 
Sipati picha nyumba zetu hizi za Uswazi hata hazina ceiling board sijui mtacheza mchezo gani nyie wawili pasipo majirani kushare na nyie japo kwa kusikiliza au hata kuchungulia. Lakini pia watoto tunaokuwa nao kwa wale wenye watoto wakisikia kukurukakara wanaanza kuogopa wakijua Baba na Mama wanazipiga ngumi humo chumbani kama kweli kuna chuma isije kuwa ndio chumba na sebule. Basically this is for specific person and places


Hahahahhh Inanikumbusha nikiwa sehemu flani Mtoto alimuona babake akimega huku mazake akitoa miguno na makelele ya hapa na pale Mtoto(11 years old) kaanza kumshushia kipigo Babake akijuwa wanadundana! Hizi Nyumba zetu bwana!
 
Back
Top Bottom