nami nimegundua hicho hapo kunakaubaguzi fulani hivi,mbona sikukuu za kikristo hasa chrismas mshahara mapema kila mwaka na kila sekta,mm ni mwislaamu linaniuma sana hili jambo na ndio maana siku hizi kuna utata kwenye dini
sherehe ya dini ni ibada au unataka sadaka? halafu we mwalimu subiri tukate madeni yetu ya finca, pride, bayport na vicoba, then tutakuletea tu zero percent yako ufanyie sherehe.
sherehe ya dini ni ibada au unataka sadaka? halafu we mwalimu subiri tukate madeni yetu ya finca, pride, bayport na vicoba, then tutakuletea tu zero percent yako ufanyie sherehe.
hongereni sie tupo mikoa na wilaya zenye viongozi wengi wakristo hivyo hawana haraka ya kutoa mishahara hata kama ipo
jamani mie nipo kijijini huku sumbawanga naulizia mishahara ya mwezi huu kama umetoka,hali ngumu sikukuu ya kesho kwa sisi waalimu.nawasilisha
watakuambia payllor bado hazijafika,ina maana hapo mpaka j'3
tatizo letu wabongo tumefanya utegemezi wa hali ya juu. Kwa hali hii hatufiki popote. Nakushauri mwl uanzishe hata kabustani ka mboga za majani utaona uzuri wa kujitegemea.
Msitoane roho jamani. Kwa wale wafanyakazi wa Serikali wasahau kwa muda kama tarehe za mshahara zimefika. Mishahara haipo tayari, kuna matatizo ya kiufundi yamejitokeza kwenye tarakilishi za Hazina hivyo vuteni subra. Wenye vibubu vunjeni tu hakuna ujanja.