Sidhani kama ccm wanaweza kutekeleza hilo kwa 100%Ni vizuri kusimamia matakwa ya sheria kuondoa double standards.
Sidhani kama ccm wanaweza kutekeleza hilo kwa 100%Ni vizuri kusimamia matakwa ya sheria kuondoa double standards.
Tusaidie kuelewa kwa vipi CCM inahusika hapa wakati jiji linaongozwa na UKAWA!!utaratibu ni kwamba , wataalamu wanapoandaa bajeti za halmashauri ni lazima wapeleke kwenye baraza la madiwani ijadiliwe then ndio iende TAMISEMI , sasa hawa watendaji wa CCM wanajaribu kuhujumu kishamba sana.
Usipate shida tunaelewa ni kwa nini. Ni sawa mwanafunzi wa ngumbaru mbele ya mhadhiri wa chuo kikuu, hawezi kumwelewaSijui kwanini hua sitilii maanani lolote analozungumza huyu bwana, kila nikikumbuka makala zake juu ya lowasa,
NI kweli ukizingatia na ile elimu ya hapa na paleUsipate shida tunaelewa ni kwa nini. Ni sawa mwanafunzi wa ngumbaru mbele ya mhadhiri wa chuo kikuu, hawezi kumwelewa
Wala sio wewe pekeyako mkuu tuko wengi mala nyingine hadi kusoma taalifa zake zinatia kichefuchefuSijui kwanini hua sitilii maanani lolote analozungumza huyu bwana, kila nikikumbuka makala zake juu ya lowasa,
Mala = mara, namna hii huwezi muelewaWala sio wewe pekeyako mkuu tuko wengi mala nyingine hadi kusoma taalifa zake zinatia kichefuchefu
Definatelly mkuu maana hakuna namna nyingineKula sumu mkuu
Umenigusa mkuu 100%Sijui kwanini hua sitilii maanani lolote analozungumza huyu bwana, kila nikikumbuka makala zake juu ya lowasa,
Kubenea ni Zero aka Sifuri..Mbunge huyo makini ambaye Wengi wanapenda kumwita mbunge wa Taifa kutokana na uzalendo wake wa kulinda masilahi ya nchi , amesema ni lazima kwanza bajeti ijadiliwe na madiwani wa jiji kabla ya kupelekwa bungeni .
Haiwezekani bajeti iliyoandaliwa na watendaji wa jiji ipelekwe moja kwa moja Tamisemi badala ya kupitia kwanza kwenye baraza la madiwani ili ijadiliwe na mapungufu yarekebishwe .
Mh huyo kwa msisitizo amepanga kupeleka barua kwa spika kumjulisha juu ya jambo hilo .
My Take - ninaona harufu ya UKAWA kuhujumiwa kwa udi na uvumba katika mikakati yao ya kuboresha jiji .
Sijui kwanini hua sitilii maanani lolote analozungumza huyu bwana, kila nikikumbuka makala zake juu ya lowasa,
walio chelewesha mchakato wa kumpata meya wa jiji ili vikao vya baraza vichelewe nani?,kama so haohao wanaojifanya wazalendo/akina sokine wa leo.shame on them.Balaza la Madiwani Jiji la Dsm hawaja wahi hata kufanya kikao kimoja cha baraza sasa kubenea alitaka wajadiliane Ufipa???
we una wivu wa kike au tusemeje ,we kaalaga bao mwenzio kaishatusua hujui siasa ni kucheza na manenoSijui kwanini hua sitilii maanani lolote analozungumza huyu bwana, kila nikikumbuka makala zake juu ya lowasa,
Akili yako INA stroke unawezaje kutilia maananj jamboSijui kwanini hua sitilii maanani lolote analozungumza huyu bwana, kila nikikumbuka makala zake juu ya lowasa,