kubana matumizi hakuhusian direct na kuimarisha shilingi, shilingi itaimarika significantly endapo tutafanya export nyingi na tujipunguza consumption ya imported goods
hiyo ya serikali kukadhibiti safari za nje inasaidia kupunguza demand ya dollar ila kwa kiasi kidogo sana kiasi kwamba huwezi ukaona impact
Ina maana mwajuana hahahahhaa wacha utani mkuuNimefurahia kanuni yako ya kujibu thread ya February mwezi June, by the way pole kwa kutumbuliwa.
Wachumi Wazalendo njooni na model ya kutukwamua hapa tulipo.