sarafu ina imarika kwa kuongeza balance of payment lazima u export zaidi kuliko ku import then sarafu inapata nguvu zingine porojo za kisiasaNashangaa pamoja na viongozi hawasafiri ila bado dollar iko juuu au importation zimeongezeka
Chapa kazi mh magufuli ,sh. Itapanda tu ,wanaotaka ipande kwa muujiza wakaitafute huko inakopatikana hapakazitu
Wewe unayeona miezi 8 ni michache, soma historia ya maendeleo ya Dubai. Mabadiliko yalikuwa ndani ya miaka 15 tu. Na ili kuyapata mabadiliko ndani ya miaka 15, kila mwaka kulikuwa na mambo kadhaa makubwa ya kiuchumi yaliyofanyika na yaliyoonekana wazi. Naomba mwisho wa mwaka wa utawala huu unioridheshee mambo makubwa angalao matano ya kiuchumi yatakayokuwa yamefanyika yanayoonekana kwetu sote.Uongozi hauna hata mwaka mnatoa lawama tufanye kazi kwa bidii tuache kulalamika
Nimefurahia kanuni yako ya kujibu thread ya February mwezi June, by the way pole kwa kutumbuliwa.Uchumi ni 'kanuni' haibadiliki ,usitarajie Uchumi kupanda tu kwa maneno matupu kama haya yako hapa ..
Hapo kwenye "sera nzuri za uwekezaji" ndipo tunapopigiwa kila siku na kubaki tunalalama na kushikana mashati wenyewe.Utawavutia vp wawekezaji kutoka nje wakati hata wajumbe wenyewe unawakaribisha kama wanafunzi mstarini, wawekezaji wengi kwa sasa wanafunga ofisi zao, na wanahamia nchi zingine wanazoona zinasera nzuri za uwekezaji.JK alizunguuka dunia nzima kuitanga tz ingawa analaumiwa kua safari zake nyingi ni za anasa. Bado tunahitaji Msaada kutoka ng'ambo, tz ilikua haijulkani baadhi ya nchi nyingi huko, hadi uwaambie nimetokea kwenye nchi yenye mlima Kilimanjaro. leo wakisema HATUTAKI BIDHAA ZENU,NA BIDHAA ZETU HATUWAPI. Baada ya mwezi tu tutaanza kuilamu serkali,na kama mnakumbuka wakate EAC inaanziasha wenzetu walitupa ofa kwa bidhaa zetu, tukiweza kupeleka kwa wanatupunguzia kodi kuliko wao kuleta kwetu. Hakika kwa jinsi wanavyobana hali utakua ngumu sana kwa mwananchi wa kawaida, lakini labda wana malengo mazuri, maana unaweza kubana kwa wananchi huduma za kijamii zikawa nzuri, unaweza kubana kwa wanaoishi mijini ukaachia wa vijijini (million 50,50) ili wasio na kazi mijini waludi vijijin wakalime.PIA KWA UBANAJI HUU INGUKUA KWA NCHI ZA KIJAMAA NI SAWA LAKINI KWA NCHI ZA KIBEPARI TUJIANDAE KWA MAUMIVU TU.
Sio lazima kuhangaika na wawekezaji kama kina dango, mtu anataka apewe hadi sehemu ya bahari,yaani ajenge bandari yake kwenye nchi ya watu,mtu wa aina hiyo ni hatari sana kwa usalama wa nchi.ninachotamani mimi kuona,angewapa fulsa zaidi wawekezaji wa ndani,asiwabane saana kwenye kodi na kuwatishia kuishi kama masheta maana hawa ndio wanaotoa ajira nyiki,hawa wawekezaji wa nje wanatakiwa kuwanao makini sana,Hapo kwenye "sera nzuri za uwekezaji" ndipo tunapopigiwa kila siku na kubaki tunalalama na kushikana mashati wenyewe.
Dangote anataka apewe gas kwa bei ya kisimani, hizi ndiyo sera nzuri kwa wawekezaji.
ndo ujue kuwa kuna pahala mnaboronga, mjipangeNashangaa pamoja na viongozi hawasafiri ila bado dollar iko juuu au importation zimeongezeka