Mrekebishaji
Senior Member
- Mar 19, 2009
- 168
- 63
Hbr wana JF.
Naomba msaada wa namna ya kuanzisha kampuni ambayo itamilikiwa na watu wawili(in principle), baba na mke. Au ya kumilikiwa na mtu mmoja. Pengine kwa kuraisisha swali ni, je unatakiwa ufanyeje ili uwe na kampuni yako kama vile ilivyo kwa IPP ni ya mengi.
Natanguliza shukrani
Naomba msaada wa namna ya kuanzisha kampuni ambayo itamilikiwa na watu wawili(in principle), baba na mke. Au ya kumilikiwa na mtu mmoja. Pengine kwa kuraisisha swali ni, je unatakiwa ufanyeje ili uwe na kampuni yako kama vile ilivyo kwa IPP ni ya mengi.
Natanguliza shukrani