Kuanzisha Business Bongo & Mozambique

dizbap

Senior Member
Nov 25, 2009
156
86
Dear wana JF!

Hebu angalieni jinsi ilivyo ukitaka Anzisha Biashara Tanzania na Mozambique na ulinganishe hizo Procedures na Siku! Mimi nina experience pia ya mozambique na ya hapa Tanzania, Maana kote nimefungua Biashara! kwa Tanzania jamani ilikuwa Tabu sana, Hizo Procedures na Days ni zaidi ya 29 Kama ilivyo hapa Doing Business in Tanzania - World Bank Group, Hiyo Gharama ilikuwa zaidi ya hiyo iliyopo hapo ambayo ndio Halali. Mozambique Jamani Ilikuwa fasta than hata walizoandika hapahttp://www.doingbusiness.org/data/exploreeconomies/mozambique#starting-a-business, Gharama pia ilikuwa hiyo hiyo. Jamaa wapo smart mnoo, Vitu vipo katika system hakuna kuchakachua wala nini. Now nipo Bongo na kule Biashara inaendelea salama salmini, Yani hakuna majtro. Hesabu zote zaenda sahihi watu wa revenue wanachukua chao bila tabu. yani nimeacha wasimamizi na mambo yapo shwari. Hapa Bongo nikisafiri tu nikirudi unakutana na Maumivu tu.

Tusikae na kutegemea hapa hapa tu tujifunze kuangaika huku na kule! Hakuna kitu kigumu wala, watu tu wanapenda kuwatisha watu, Kama una elimu yako na upo na fikira za kutaka maendeleo unaendelea. Tusijazane Kariakoo tu! kuna sehemu nyingi sana vitu havijafanyika, Kama Mozambique bado sana kuna BIashara nyingi hazijafanyika, Mfanye research na mjikite! pia hela yao ni kubwa kuliko yetu 1MT = 60Tsh.

Tafakari...Chukua Hatua.
 
Dear wana JF!

Hebu angalieni jinsi ilivyo ukitaka Anzisha Biashara Tanzania na Mozambique na ulinganishe hizo Procedures na Siku! Mimi nina experience pia ya mozambique na ya hapa Tanzania, Maana kote nimefungua Biashara! kwa Tanzania jamani ilikuwa Tabu sana, Hizo Procedures na Days ni zaidi ya 29 Kama ilivyo hapa Doing Business in Tanzania - World Bank Group, Hiyo Gharama ilikuwa zaidi ya hiyo iliyopo hapo ambayo ndio Halali. Mozambique Jamani Ilikuwa fasta than hata walizoandika hapahttp://www.doingbusiness.org/data/exploreeconomies/mozambique#starting-a-business, Gharama pia ilikuwa hiyo hiyo. Jamaa wapo smart mnoo, Vitu vipo katika system hakuna kuchakachua wala nini. Now nipo Bongo na kule Biashara inaendelea salama salmini, Yani hakuna majtro. Hesabu zote zaenda sahihi watu wa revenue wanachukua chao bila tabu. yani nimeacha wasimamizi na mambo yapo shwari. Hapa Bongo nikisafiri tu nikirudi unakutana na Maumivu tu.

Tusikae na kutegemea hapa hapa tu tujifunze kuangaika huku na kule! Hakuna kitu kigumu wala, watu tu wanapenda kuwatisha watu, Kama una elimu yako na upo na fikira za kutaka maendeleo unaendelea. Tusijazane Kariakoo tu! kuna sehemu nyingi sana vitu havijafanyika, Kama Mozambique bado sana kuna BIashara nyingi hazijafanyika, Mfanye research na mjikite! pia hela yao ni kubwa kuliko yetu 1MT = 60Tsh.

Tafakari...Chukua Hatua.

Shukran mkuu.Ila hapo kwenye red pamenishtua kidogo,is the reverse not true? Na mkuu upo tayari kutoa msaada(siyo wa pesa) kama mtu yupo interrested kwenda huko?
 
Shukran mkuu.Ila hapo kwenye red pamenishtua kidogo,is the reverse not true? Na mkuu upo tayari kutoa msaada(siyo wa pesa) kama mtu yupo interrested kwenda huko?

Asante kaka! Habari ndio hiyo, jaribu kuangalia kwa web site hii uone xchange rates: http://www.xe.com , Its time for us to move on. Hapa kwetu mafisadi wengi Vijana HATUTOKI.
 
Dear wana JF!

Hebu angalieni jinsi ilivyo ukitaka Anzisha Biashara Tanzania na Mozambique na ulinganishe hizo Procedures na Siku! Mimi nina experience pia ya mozambique na ya hapa Tanzania, Maana kote nimefungua Biashara! kwa Tanzania jamani ilikuwa Tabu sana, Hizo Procedures na Days ni zaidi ya 29 Kama ilivyo hapa Doing Business in Tanzania - World Bank Group, Hiyo Gharama ilikuwa zaidi ya hiyo iliyopo hapo ambayo ndio Halali. Mozambique Jamani Ilikuwa fasta than hata walizoandika hapahttp://www.doingbusiness.org/data/exploreeconomies/mozambique#starting-a-business, Gharama pia ilikuwa hiyo hiyo. Jamaa wapo smart mnoo, Vitu vipo katika system hakuna kuchakachua wala nini. Now nipo Bongo na kule Biashara inaendelea salama salmini, Yani hakuna majtro. Hesabu zote zaenda sahihi watu wa revenue wanachukua chao bila tabu. yani nimeacha wasimamizi na mambo yapo shwari. Hapa Bongo nikisafiri tu nikirudi unakutana na Maumivu tu.

Tusikae na kutegemea hapa hapa tu tujifunze kuangaika huku na kule! Hakuna kitu kigumu wala, watu tu wanapenda kuwatisha watu, Kama una elimu yako na upo na fikira za kutaka maendeleo unaendelea. Tusijazane Kariakoo tu! kuna sehemu nyingi sana vitu havijafanyika, Kama Mozambique bado sana kuna BIashara nyingi hazijafanyika, Mfanye research na mjikite! pia hela yao ni kubwa kuliko yetu 1MT = 60Tsh.

Tafakari...Chukua Hatua.

Mkuu nashukuru kwa kutujuza hilo. Kuna business opportunities gani huko Mozambique? Kama siongei Portuguesa inakuwaje?
 
Mkuu nashukuru kwa kutujuza hilo. Kuna business opportunities gani huko Mozambique? Kama siongei Portuguesa inakuwaje?
Ndugu yangu kule kuna Opportunities Mingi sana, Jamaa kule hawajafanya vitu vingi sana kama hapa! Ujue sisi hapa tuna hangaika sana so hata kama utafungua DUKA kule la nguo am sure Mbongo utakuwa creative zaidi...Jamaa wao vitu vizuri mpk waende south, vitu kama PUB au kumbi kali za starehe sio mingi sana kama huku. yani kuna alot wajameni. Lugha sio tabu kabisa. Wala usiogope! wapo wanao ongea English. end of the day wewe ni HELA tu.
 
dizbap na kuhusu majanga yanayoikumba mozambique inakuaje hapo?wana mipango gani kuyadhibiti?mana nchi ile wawekezaji wengi wakubwa nahisi wanaiogopa kwa ajili ya hofu ya natural disaster,huwa ikipiga inaharibu sana na kuwaacha wananchi ktk hali ngumu
 
Ndugu yangu kule kuna Opportunities Mingi sana, Jamaa kule hawajafanya vitu vingi sana kama hapa! Ujue sisi hapa tuna hangaika sana so hata kama utafungua DUKA kule la nguo am sure Mbongo utakuwa creative zaidi...Jamaa wao vitu vizuri mpk waende south, vitu kama PUB au kumbi kali za starehe sio mingi sana kama huku. yani kuna alot wajameni. Lugha sio tabu kabisa. Wala usiogope! wapo wanao ongea English. end of the day wewe ni HELA tu.
Sawa mkuu nimekupata. Threads kama hizi ndio zinatakiwa zi-dominate JF. Thanks a bunch, mkuu!!
 
Dear wana JF!<br />
<br />
Hebu angalieni jinsi ilivyo ukitaka Anzisha Biashara Tanzania na Mozambique na ulinganishe hizo Procedures na Siku! Mimi nina experience pia ya mozambique na ya hapa Tanzania, Maana kote nimefungua Biashara! kwa Tanzania jamani ilikuwa Tabu sana, Hizo Procedures na Days ni zaidi ya 29 Kama ilivyo hapa <a href="http://www.doingbusiness.org/data/exploreeconomies/tanzania#starting-a-business" target="_blank">Doing Business in Tanzania - World Bank Group</a>, Hiyo Gharama ilikuwa zaidi ya hiyo iliyopo hapo ambayo ndio Halali. Mozambique Jamani Ilikuwa fasta than hata walizoandika hapahttp://www.doingbusiness.org/data/exploreeconomies/mozambique#starting-a-business, Gharama pia ilikuwa hiyo hiyo. Jamaa wapo smart mnoo, Vitu vipo katika system hakuna kuchakachua wala nini. Now nipo Bongo na kule Biashara inaendelea salama salmini, Yani hakuna majtro. Hesabu zote zaenda sahihi watu wa revenue wanachukua chao bila tabu. yani nimeacha wasimamizi na mambo yapo shwari. Hapa Bongo nikisafiri tu nikirudi unakutana na Maumivu tu.<br />
<br />
Tusikae na kutegemea hapa hapa tu tujifunze kuangaika huku na kule! Hakuna kitu kigumu wala, watu tu wanapenda kuwatisha watu, Kama una elimu yako na upo na fikira za kutaka maendeleo unaendelea. Tusijazane Kariakoo tu! kuna sehemu nyingi sana vitu havijafanyika, Kama Mozambique bado sana kuna BIashara nyingi hazijafanyika, Mfanye research na mjikite! pia hela yao ni kubwa kuliko yetu 1MT = 60Tsh. <br />
<br />
Tafakari...Chukua Hatua.
<br />
<br />
Kaka mozambique ya wapi inafaa zaid
 
Dear wana JF!

Hebu angalieni jinsi ilivyo ukitaka Anzisha Biashara Tanzania na Mozambique na ulinganishe hizo Procedures na Siku! Mimi nina experience pia ya mozambique na ya hapa Tanzania, Maana kote nimefungua Biashara! kwa Tanzania jamani ilikuwa Tabu sana, Hizo Procedures na Days ni zaidi ya 29 Kama ilivyo hapa Doing Business in Tanzania - World Bank Group, Hiyo Gharama ilikuwa zaidi ya hiyo iliyopo hapo ambayo ndio Halali. Mozambique Jamani Ilikuwa fasta than hata walizoandika hapahttp://www.doingbusiness.org/data/exploreeconomies/mozambique#starting-a-business, Gharama pia ilikuwa hiyo hiyo. Jamaa wapo smart mnoo, Vitu vipo katika system hakuna kuchakachua wala nini. Now nipo Bongo na kule Biashara inaendelea salama salmini, Yani hakuna majtro. Hesabu zote zaenda sahihi watu wa revenue wanachukua chao bila tabu. yani nimeacha wasimamizi na mambo yapo shwari. Hapa Bongo nikisafiri tu nikirudi unakutana na Maumivu tu.

Tusikae na kutegemea hapa hapa tu tujifunze kuangaika huku na kule! Hakuna kitu kigumu wala, watu tu wanapenda kuwatisha watu, Kama una elimu yako na upo na fikira za kutaka maendeleo unaendelea. Tusijazane Kariakoo tu! kuna sehemu nyingi sana vitu havijafanyika, Kama Mozambique bado sana kuna BIashara nyingi hazijafanyika, Mfanye research na mjikite! pia hela yao ni kubwa kuliko yetu 1MT = 60Tsh.

Tafakari...Chukua Hatua.

@dizbap.
Asante kwa info, asante mno!
 
Asante kaka ,mimi ninasoma na hao watu huku nitafanya nao urafiki aiseeeeeeee
 
WAZO ZURI SANA,tuzingatie yafuatayo:
-utii wa sheria
-ukabila
-Rushwa
kwa kawaida watanzania tukienda nchi ya watu,huwa tunapeleka ugonjwa wa mdudu Rushwa, e.g Swaziland wameshaaambukizwa

mimi nimesikia kuna fursa katika secta ya usafiri biashara ni nzuri sana, kusaga na kupaki vyakula e.g Sembe,ngano.
kuna wahindi/warabu wameenda kufungua kiwanda cha plastics huko huko

Je ni mji gani biashara ipo nzuri zaidi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom