dizbap
Senior Member
- Nov 25, 2009
- 156
- 86
Dear wana JF!
Hebu angalieni jinsi ilivyo ukitaka Anzisha Biashara Tanzania na Mozambique na ulinganishe hizo Procedures na Siku! Mimi nina experience pia ya mozambique na ya hapa Tanzania, Maana kote nimefungua Biashara! kwa Tanzania jamani ilikuwa Tabu sana, Hizo Procedures na Days ni zaidi ya 29 Kama ilivyo hapa Doing Business in Tanzania - World Bank Group, Hiyo Gharama ilikuwa zaidi ya hiyo iliyopo hapo ambayo ndio Halali. Mozambique Jamani Ilikuwa fasta than hata walizoandika hapahttp://www.doingbusiness.org/data/exploreeconomies/mozambique#starting-a-business, Gharama pia ilikuwa hiyo hiyo. Jamaa wapo smart mnoo, Vitu vipo katika system hakuna kuchakachua wala nini. Now nipo Bongo na kule Biashara inaendelea salama salmini, Yani hakuna majtro. Hesabu zote zaenda sahihi watu wa revenue wanachukua chao bila tabu. yani nimeacha wasimamizi na mambo yapo shwari. Hapa Bongo nikisafiri tu nikirudi unakutana na Maumivu tu.
Tusikae na kutegemea hapa hapa tu tujifunze kuangaika huku na kule! Hakuna kitu kigumu wala, watu tu wanapenda kuwatisha watu, Kama una elimu yako na upo na fikira za kutaka maendeleo unaendelea. Tusijazane Kariakoo tu! kuna sehemu nyingi sana vitu havijafanyika, Kama Mozambique bado sana kuna BIashara nyingi hazijafanyika, Mfanye research na mjikite! pia hela yao ni kubwa kuliko yetu 1MT = 60Tsh.
Tafakari...Chukua Hatua.
Hebu angalieni jinsi ilivyo ukitaka Anzisha Biashara Tanzania na Mozambique na ulinganishe hizo Procedures na Siku! Mimi nina experience pia ya mozambique na ya hapa Tanzania, Maana kote nimefungua Biashara! kwa Tanzania jamani ilikuwa Tabu sana, Hizo Procedures na Days ni zaidi ya 29 Kama ilivyo hapa Doing Business in Tanzania - World Bank Group, Hiyo Gharama ilikuwa zaidi ya hiyo iliyopo hapo ambayo ndio Halali. Mozambique Jamani Ilikuwa fasta than hata walizoandika hapahttp://www.doingbusiness.org/data/exploreeconomies/mozambique#starting-a-business, Gharama pia ilikuwa hiyo hiyo. Jamaa wapo smart mnoo, Vitu vipo katika system hakuna kuchakachua wala nini. Now nipo Bongo na kule Biashara inaendelea salama salmini, Yani hakuna majtro. Hesabu zote zaenda sahihi watu wa revenue wanachukua chao bila tabu. yani nimeacha wasimamizi na mambo yapo shwari. Hapa Bongo nikisafiri tu nikirudi unakutana na Maumivu tu.
Tusikae na kutegemea hapa hapa tu tujifunze kuangaika huku na kule! Hakuna kitu kigumu wala, watu tu wanapenda kuwatisha watu, Kama una elimu yako na upo na fikira za kutaka maendeleo unaendelea. Tusijazane Kariakoo tu! kuna sehemu nyingi sana vitu havijafanyika, Kama Mozambique bado sana kuna BIashara nyingi hazijafanyika, Mfanye research na mjikite! pia hela yao ni kubwa kuliko yetu 1MT = 60Tsh.
Tafakari...Chukua Hatua.