Maandamano lazima yaitishwe na cdm ndo yanakuwa ya
Kweli coz Viongozi hutangulia mbele wananchi nyuma
Huyu kibamba sitashangaa siku nikisikia anagombea ubunge kwa tiketi ya CCM..... Heche ebu itisha maandamano ya ukweli wanaharakati tuingie barabarani.
Bora umelitambua hili! Kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe!!!Sasa subirini chadema waongee na JK ndo mtachoka kabisaaaa..chase ashasema nothing is better than money..acheni longolongo tafuta pesa hao kina slaa wanatafuta pesa si vinginevo.