Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Wanahrakati mchango wenu katika kutafuta mbadiliko nchini tunauthamini kweli kweli; cha msingi tekelezeni wajibu wenu kivitendo zaidi kuliko kinadharia na mtheshimika kwa hilo mbele ya jamii sawa sawa na Tanganyika Law Society ilivyokwishajizolea umaarufu kwetu wananchi, na watu binfsi kama vile Jenerali Ulimwengu, Prof Shivji, Mama Nkya, Kafulila, UDASA, Kamanda Lema, Regia, CHADEMA na ...