Karibu mwaya ila mi mkali sana hadi najihurumia... huo ndo udhaifu wangu mkubwa. mengine i hope utaenjoy ingawa haipendezi kujifagilia!!
Mkali kwenye nini mkuu
Karibu mwaya ila mi mkali sana hadi najihurumia... huo ndo udhaifu wangu mkubwa. mengine i hope utaenjoy ingawa haipendezi kujifagilia!!
we Bebii wewe,acha kutia wenzio majaribuni,zambi hiyo!
Mkali kwenye nini mkuu
yaani miaka miwili anafaidi mwenyewe aondoke bwana atuachie hata wk arudikaribu mwaya ila mi mkali sana hadi najihurumia... Huo ndo udhaifu wangu mkubwa. Mengine i hope utaenjoy ingawa haipendezi kujifagilia!!
na wewe wataka nihamie kwako?we bebii wewe,acha kutia wenzio majaribuni,zambi hiyo!
Kaka kwenye maamuzi , makubaliano + kuyasimamia!!
yaani miaka miwili anafaidi mwenyewe aondoke bwana atuachie hata wk arudi
wewe unataka wapii?sasa iddi kesho wapi ukanitoe upweke bebii?
wewe unataka wapii?
Mkuu hapo sawa ila kuna sehemu inabidi ubadilike kuendana na mazingira mkuu
pm ndo wapi? kuna beach mi nataka kuogelea bwana
hahahaaaa!! Mambo mengine pm bana!!
Nakubaliana mkuu sio kwamba i am so rigid kihivyo ....
mi nshastaafu,siku hizi kabamia kangu mpaka kaimbiwe 'simama dede..' wapi na wapi na binti mrembo kama wewe si ntaishia kukufia kifuani?
Yaani mkuu ni bora kupotezea na kuhama kabisa mtaa au nyumba unayokaa kuliko kuface the reality na zile lawama
hasa kwa mtu ambaye ushamwambia kuwa u can be her husband
Ukifikiria time u spend together, time she lost for you, her expectation and lot of her plan over you unaamua kupotezea na kuhama kabisa
Mkuu Rocky wewe ni mzazi kama mimi na una mwenzako ila kama kiukweli mlishajaliwa watoto na kasoro zilizopo siyo za ki uzinzi kuachana na wife ni very difficult. Kuna huruma inaingia hasa ukikumbuka plan zenu mlizojiwekea huko nyuma pia ukiwaangalia watoto wasio na hatia na pia uki figure out hali itakavyokuwa bila kuwa na huyu wife ndani ya nyumba. Na zaidi sana ukigundua kuwa ladies wote wana common behaviour na ni ngumu kupata perfect replacement na hata ukipata kuna very long learning process ya kumfahamu donts na dos zake. Ukiweza kuwaza kwa namna hiyo basi unajikuta unabadili uamuzi na kusamehe.
yaani hapo patamu
Zile bata na starehe zote nacancel,
no hela ya salon
nyumba narudisha narudi kijijini,
na lile gari tunalotembelea nauza
Dah wewe mtoto wewe hebu sema astaghafirullah.halafu mnasema mademu hatujatulia
ndo maana wajanja wanakaa kimachalemachale mguu mmoja kulia na mmoja kushoto ukitoswa huku unahamia huku.ili kupunguza maumivu akiba ni muhimu hadi kieleweke.