Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
Kuachwa kuachwa kuachwa ni shughuli pevu...........................kaimba mtu mmoja nimemsahau jina
Khalid Chokoraa .... bahati mbaya sina utaalamu wa ku apload ningekuwekea hapa
Kuachwa kuachwa kuachwa ni shughuli pevu...........................kaimba mtu mmoja nimemsahau jina
Mkuu ni hard sana kwa mtu ambaye aliweka matumaini yote kwako na kutegemea mambo mazuri kutoka kwako anakuja kuishia kuambiwa kuwa mambo yameisha
bebii anasema tuu hapa ila ukimkuta kwake anakuwa mnyenyekevu kinoma goti mpaka chini anapompa maji jamaa yake
Nakubali ndugu yangu lakini kama nimeshakutahadharisha several times halafu unakomaa provided hatuna ndoa nikigeuka nyuma ndo bye bye. Tatizo wengine tuna misimamo na hatugeuki nyuma hata kama nilikuwa nimependa namna gani ninapogundua kuwa unafanya kusudi jambo ambalo nimeshakutahadharisha.....
Hii ni dizaini ya wale wanaharakati wa kibeijing wanaowapa kiburi wanwake wenzao wakti ama wao ndoa zilishawashinda au wanayofundisha sio wanayoyaishi makwao!
It is a very long story my friend nisingependa kuyaanika humu but angekuwa na uwezo wa kunishut nadhani angeshafanya hivyo kwani it is more than 2 years but hataki kuelewa kitu na mimi sitaki kuelewa kitu and for sure i will neve ever......mengine tuyaache!![/QUOTE
Pole Mkuu Mkirua, kwenye uzi huu kuna mahali nimesema wanawake huwa hawakubali kuachwa,mkiachana yeye atafuatilia maisha yako tu ajue uko na nani na mnaendelea vipi. Na usipoangalia kwenye mahusiano yako atatia fitna mradi tu uharibikiwe,mi nawashangaaga sana yaani,we mtu tumeachana si basi,get on with your life,lakini wapi wao wamo tu!
It is a very long story my friend nisingependa kuyaanika humu but angekuwa na uwezo wa kunishut nadhani angeshafanya hivyo kwani it is more than 2 years but hataki kuelewa kitu na mimi sitaki kuelewa kitu and for sure i will neve ever......mengine tuyaache!![/QUOTE
Pole Mkuu Mkirua, kwenye uzi huu kuna mahali nimesema wanawake huwa hawakubali kuachwa,mkiachana yeye atafuatilia maisha yako tu ajue uko na nani na mnaendelea vipi. Na usipoangalia kwenye mahusiano yako atatia fitna mradi tu uharibikiwe,mi nawashangaaga sana yaani,we mtu tumeachana si basi,get on with your life,lakini wapi wao wamo tu!
Ndo maana nimesema hawa watu akiamua kukufanyia kisasi hataacha ni lazima afanye kila linaliowezekana kukuharibia
ndo walivyo hao,alikuwa ana test zali ikamtokea puani!Nakubali ndugu yangu lakini kama nimeshakutahadharisha several times halafu unakomaa provided hatuna ndoa nikigeuka nyuma ndo bye bye. Tatizo wengine tuna misimamo na hatugeuki nyuma hata kama nilikuwa nimependa namna gani ninapogundua kuwa unafanya kusudi jambo ambalo nimeshakutahadharisha.....
ni sawa na wanaume ambao akiwa bar kazi kusimama juu ya kaunta na kutamba anavyomshikisha adabu mkewe,kumbe kila siku yeye ndo anakula mikwaju na anaficha majirani wasijue.Hii ni dizaini ya wale wanaharakati wa kibeijing wanaowapa kiburi wanwake wenzao wakti ama wao ndoa zilishawashinda au wanayofundisha sio wanayoyaishi makwao!
ndo walivyo hao,alikuwa ana test zali ikamtokea puani!
<br />It is so simple kuongea hapa ila haya mambo yanaumiza sana na ni magumu kuhandle na kuyakubali
eeeh kwaiyo sasa nafasi ipo open tuhamie au?nakubali ndugu yangu lakini kama nimeshakutahadharisha several times halafu unakomaa provided hatuna ndoa nikigeuka nyuma ndo bye bye. Tatizo wengine tuna misimamo na hatugeuki nyuma hata kama nilikuwa nimependa namna gani ninapogundua kuwa unafanya kusudi jambo ambalo nimeshakutahadharisha.....
<br />
<br />
umeona eeh! Hlf yanaumiza pande zote mbili.
eeeh kwaiyo sasa nafasi ipo open tuhamie au?
kabisa bwana dah abarikiwe uyo dada wengine tuponee hapo bwanahahahahaaaaaa!! Bebii kwani we uko single?
kabisa bwana dah abarikiwe uyo dada wengine tuponee hapo bwana