matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Kuanzia mwakani wasanii watalipwa na radio na TV kwa nyimbo zao au tamthiliya kuonyeshawa. Hii imefikiwa leo kwa ushirikiano wa Wizara ya Viwanda na Biashara pamoja na Wizara ya Habari na Sanaa.
Na bado mambo mazuri yanaandaliwa kwa wasanii ili wafaidike na kazi zao kwenye kila sehemu zitakapotumika.
Magufuli aliwaambia wasanii sitowatumia ila nitawasaidia. Anaanza kutimiza mambo yake.