Haya tunayoyashuhudia wala tusishangae nayo, kwani kuna kauri mbiu inasema: Biashara ni Matangazo, na Matangazo ni Biashara'; hivyo wasichana wetu wanajificha nyuma la pazia la kwenda na fashion lakini kumbe ni kutangaza bidhaa iliyoko sokoni bila kupiga kelele kama tulivyozoea kusikia 'mchicha, mchicha, wa leo leo, toka bonde la kinyerezi etc'
Mkuu uliyeweka picha ulikuwa unawaza nini au ndo unatuonyesha kiujazacho Moyo? tumekupata mkuu ila mabinti hawa zaidi ya kujidhalilisha sijaona cha ziada kwani mambo ya kawaida tu.
Hawa siwashangai, wameshakata tamaa ya maisha kwa hiyo silaha yao pekee ni kuonesha hayo maumbile kama wanayama mwitu. Anayenishangaza ni mwanaume anayethubutu kuambatana nao
mama yangu wee..sikuwahi mchagua mchumba wangu kwa kuangalia mapaja yake..ever since i met her..only wears decently..magauni mazuri ya vitenge na anavutia sana..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.