J J 20A Senior Member Apr 28, 2011 105 15 May 18, 2012 #64 Amina kafufuka au macho yangu Allien said: Click to expand...
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,554 May 18, 2012 #67 Allien said: Click to expand... naona nikadanguro fulani enheee...
Ms Judith JF-Expert Member Dec 24, 2010 2,563 918 May 18, 2012 #70 Allien said: Click to expand... mpendwa Allen, sasa huyu ndio kavaa nini? yaani mpaka nguo ya ndani inaonekana! au macho yangu tu?? kwa kweli fashion zingine, bora tu niendelee kuwa "msahamba" mbarikiwe wapendwa Glory to God!
Allien said: Click to expand... mpendwa Allen, sasa huyu ndio kavaa nini? yaani mpaka nguo ya ndani inaonekana! au macho yangu tu?? kwa kweli fashion zingine, bora tu niendelee kuwa "msahamba" mbarikiwe wapendwa Glory to God!
H Henry Philip Senior Member Jul 29, 2008 113 32 May 18, 2012 #71 Wazee, hoa wamevaa fresh mbona, mkitaka kuona maajabu mkuje fasi ya Mocambique-maputo mtaona uhuru wa mwafrika kamili, kila kitu nje nje,
Wazee, hoa wamevaa fresh mbona, mkitaka kuona maajabu mkuje fasi ya Mocambique-maputo mtaona uhuru wa mwafrika kamili, kila kitu nje nje,
Allien JF-Expert Member Jul 6, 2008 5,546 1,861 May 19, 2012 Thread starter #73 J 20A said: Amina kafufuka au macho yangu Click to expand... Mkuu, huyo ni mcheza movie wa Bongowood aka Tollywood.
J 20A said: Amina kafufuka au macho yangu Click to expand... Mkuu, huyo ni mcheza movie wa Bongowood aka Tollywood.
Allien JF-Expert Member Jul 6, 2008 5,546 1,861 May 19, 2012 Thread starter #74 ndetichia said: naona nikadanguro fulani enheee... Click to expand... Umeona eeh, lakini tunaambiwa ni Movie Stars wa Bongo . . . eti? Can u imagine?
ndetichia said: naona nikadanguro fulani enheee... Click to expand... Umeona eeh, lakini tunaambiwa ni Movie Stars wa Bongo . . . eti? Can u imagine?
Allien JF-Expert Member Jul 6, 2008 5,546 1,861 May 19, 2012 Thread starter #75 Ms Judith said: mpendwa Allen, sasa huyu ndio kavaa nini? yaani mpaka nguo ya ndani inaonekana! au macho yangu tu?? kwa kweli fashion zingine, bora tu niendelee kuwa "msahamba" mbarikiwe wapendwa Glory to God! Click to expand... Bwana asifiwe Mtu wa Mungu Ms Judith? Unaendeleaje na ndoa yako? Shemeji niaje? Hata sijui dada zetu mnatupeleka wapi na hizi fashion. Wengine wanadai eti mbona zamani bibi zetu walikuwa nusu uchi zaidi na matiti nje. eti?
Ms Judith said: mpendwa Allen, sasa huyu ndio kavaa nini? yaani mpaka nguo ya ndani inaonekana! au macho yangu tu?? kwa kweli fashion zingine, bora tu niendelee kuwa "msahamba" mbarikiwe wapendwa Glory to God! Click to expand... Bwana asifiwe Mtu wa Mungu Ms Judith? Unaendeleaje na ndoa yako? Shemeji niaje? Hata sijui dada zetu mnatupeleka wapi na hizi fashion. Wengine wanadai eti mbona zamani bibi zetu walikuwa nusu uchi zaidi na matiti nje. eti?
Jile79 JF-Expert Member May 28, 2009 17,668 13,236 May 19, 2012 #76 Kweli nimeamini wakubwa wanafaidi................siangalii tena mizuka mizuka tu...