Bishazo_june
Member
- Jul 3, 2023
- 42
- 54
Wakubwa naomba msaada wenu simu yangu inanitaka ku update na inaniletea hiyo notifications hapo chinije nifanye Nini nifuate maelekezo au nikiyafata naharibu sim.
Naomba msaada wa maelekezo.
Naomba msaada wa maelekezo.