Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,944
- 32,343
Ngoromiko, umechanganyikiwa...shuhudia mazishi ya Balozi Edward Mhina aliyefariki mwaka 2008. Nyadhifa alizowahi kushika;
- Balozi wetu nchini Sweden kwa kipindi cha miaka 10.
- Mkurugenzi wa Tume ya Elimu.
- Mwenyekiti kwenye Bodi ya SIDO
Kumbe mnalipiza kisasi kama CCM wamekosea na Chadema nao mnakosea kisa CCM wamekosea.