Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Siku mtikila akifa utaona bendera tutakayomuwekea.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ngoromiko, kama hujui jambo uwe unauliza kwanza kuliko kukurupuka na kujidharirisha!View attachment 56131
Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
YOU WILL EAT COKE NO MATTER WHAT!!!Umeshindwa na hoja unaanza viroja.
View attachment 56131
Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
lia tuone hayo masikitiko ya kinafiki.muone kwanza.View attachment 56131
Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
NGOROMIKO kwa kichaga ni shwetani,asikupe taabu huyu jamaa.anachuki binafisi na mboweAhsante mkuu kwa jibu murua kabisa.
Huyu ngoromiko nadhani anatumika au agenda yake binafsi. Kuna post yake hapa ya mchana anayotaka kutuaminisha kuwa Mbowe na Slaa wana mgogoro.
Anashindwa kuelewa maana ya vikao nini? Lengo la vikao ni kujadili mambo ili kuyaweka kwenye mstari. Katika mjadala wowote ule lazima kila mtu atoe mawazo yake ambayo yanaweza shabihiana au tofautiana na wengine.
msiba wa gavana wa BOT Balali mlizingatia utaifa?maana hata mwili wake mpaka leo hamjaurudisha nyumbani
Naona umeamua kuja kama ulivo Els! Good for you!
Mimi bado sijapata guts za kupambana na magamba hapa kwa verified ID!
I guess magambaz are going to eat coke this time around!
Tehetehe!
Kwani hizo sio rangi za Taifa?
Kwani hizo sio rangi za Taifa?
View attachment 56131
Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
View attachment 56131
Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
View attachment 56131
Kwa majonzi makubwa tumemwaga kitaifa mpendwa wetu Bob Makani (rip). Ameagwa kitaifa kwa sababu amelitumikia taifa letu kwa uzalendo wa hali ya juu.
Nimesikitishwa sana kwa kitendo cha CHADEMA kutanguliza mbele maslahi ya kichama badala ya maslahi mapana ya kitaifa pale walipopamba jeneza la mpendwa wetu na bendera ya chama badala ya Bendera ya Taifa.
Kwa kitendo hicho, wamejenga taswira kuwa Bob ameagwa kichama zaidi na si kitaifa. Mmetuangusha Watz.
Hata rangi za bendera ya CDM ni rangi ya taifa coz ni chama mojawapo kati ya vilivyopo hapa nchini na kikubwa zaidi ni chama kinachokuja kuiongoza hii nchi baada ya miaka mitatu ijayo.